naombeni duka linalouza iphone og

naombeni duka linalouza iphone og

Wanatudharau sana! Kwahiyo hata haya maduka yao huku ni mchina anatupa ujeuri tu😁
Sema China nao wana istore maana wana soko kubwa sana pale hata ukienda China kukuta used iPhone mwisho 15 ukiipata 16 au 17 jua ya kuchovya hiyo..
Ila kwenye istore shop wanazo zote mpaka 17 pro..
 
Sema China nao wana istore maana wana soko kubwa sana pale hata ukienda China kukuta used iPhone mwisho 15 ukiipata 16 au 17 jua ya kuchovya hiyo..
Ila kwenye istore shop wanazo zote mpaka 17 pro..
Wako vizuri

Ila ndio wanatupa tunachostahili (for export only)šŸ˜…
 
Back
Top Bottom