Seran
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 32,076
- 91,713
Wanatudharau sana! Kwahiyo hata haya maduka yao huku ni mchina anatupa ujeuri tušWao Nchi ikiwa masikini hawafungui istore wanaamini hatuwezi kumudu hizo simu sema mimi sipo huko kwenu nipo na Samsung bhana ingawaje nao ni wale wale tu..