Naombeni dua zenu

Naombeni dua zenu

Tunakuombea ufike salama na ukayamaliize salama wa salimini.
 
tunamuomba M/mungu akujaalie safari njema,uende na urudi salama.Nalog off
 
Una mapoint hadi raha.
afu flora kumbe wewe mjasili

hahahaaa, kongosho from TB to TF,
mie ni trafic natazichek lesseni kwa ukaribu,lol.

Angel mamy twakuombea safari iliyo njeam, uende na urudi salama
 
Bombu! Unajaribu kusema nini?
From TB to TF? Why? Sasabu ya kusema ana mapoint?
Am sure leseni ulochek leo ni feki, ila ile ya zamani very yenyewe

hahahaaa, kongosho from TB to TF,
mie ni trafic natazichek lesseni kwa ukaribu,lol.

Angel mamy twakuombea safari iliyo njeam, uende na urudi salama
 
Bombu! Unajaribu kusema nini?
From TB to TF? Why? Sasabu ya kusema ana mapoint?
Am sure leseni ulochek leo ni feki, ila ile ya zamani very yenyewe

Hapo uko sawa kabisa, najaribu kulinda usalama barabarani, lol
Hope uko powa,
ntaku-PM nkuulize kitu, remind me if I forget
 
hahahaaa, kongosho from tb to tf,
mie ni trafic natazichek lesseni kwa ukaribu,lol.

Angel mamy twakuombea safari iliyo njeam, uende na urudi salama

mmm angel mdogo wangu acha kuotea mwana! Af hapo juu kongosho!cjui nini unamaanisha nini?! Aghrrrrrrrr
 
tunasubiri utuambie ndiyo na fika nyumbani.....

nimefka nimemaliza shughuli kesho narudi dar thanx kwa dua zenyu nalala make nimechoka saaaaana,gnt ila msisahau kuniombea narud town kesho.na sikuwa jf jana coz kijijini nerwork kachu! Nalog off
 
Leo narud dar na fresh coach
linaendeshwa hovyo kuliko bodaboda
mbio linayumba nilikuwa nalala lakini imebidi niamke kwa woga
nimefunga mkanda navizia nikifika kwenye trafik nimwambie! Dua zenu plz
 
Nimekutana na ajali hapa segera! Landcruiser! Na lori watu wameumia lakinisi saana!ila njia imezibwa na lori ipo gari kama ishirini tumesimsms tu mahali hakuna kwenda hakuna kurudi na kuna kajumba kadogo tu hakuna huduma yoyote ya msingi,lol
 
Nadhani tayari umeshafika, ikiwa bado ninakuombea Mungu atakujalia urejee salama.
 
nadhani tayari umeshafika, ikiwa bado ninakuombea mungu atakujalia urejee salama.

its realy funny sijafika.tulipofika mail moja kbha tumetaarifiwa kuwa kuna ajali maeneo ya mbezi louis imebidi gari likatize juu kwa juu tutokee bagmy road.by this tym tupo tegeta! Thanx anyway
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom