Naombeni dua zenu my people.

Naombeni dua zenu my people.

M'Mungu atamfanyia wepesi na atajifungua salama.
 
Mungu wa rehema na fadhala
Awaangazie uso wake, kwa
Ahadi yake ya kuwa atawwlinda
Watu wake wale wamtumainio
Ipo pamoja nawe, neema upendo
Na amani vikatawale kwako
Tangu sasa na hata mile, katika
Jina la yesu! AMINA, uwe na amani
Mkuu umebalikiwa na bwana
 
Kama mtoto huyo amekaa tumboni kwa miezi tisa, kwa mapenzi hayo hayo ya mwenyezi Mungu atajiunga na sisi bila shaka,Namshukuru Mungu kwa hilo. Amen
 
Thex wakuu nashukulu kwa dua zenu wife kajifungua salama mtoto wakiume. Mungu awabariki sana.

Mungu Ashukuriwe sana, sasa sio ukampe majina ya mababu sijui jina la baba na wapi sijui, watanzania kwa umasikini tulionao inawezekana tunamikosi, mpe huyo mtoto jina la kipekee kabisa, akapambane nalo maishani mwenyewe.na nimeishapendekeza Defajo.
 
Hongereni sana,Mungu amjalie maisha marefu ya Furaha na Afya njema pamoja na nyie wazazi
 
Thenk's wakuu kwamara nyingine nawashukuni sana. Mungu akijaalia nadhani nitawawekea picha mmuone mwenenu.
 
Usihofu atajifungua salama maana wema wa Mungu ni kiubwa
 
Back
Top Bottom