Naombeni dua zenu my people.

Naombeni dua zenu my people.

Mungu Ashukuriwe sana, sasa sio ukampe majina ya mababu sijui jina la baba na wapi sijui, watanzania kwa umasikini tulionao inawezekana tunamikosi, mpe huyo mtoto jina la kipekee kabisa, akapambane nalo maishani mwenyewe.na nimeishapendekeza Defajo.

Nashukulu mkuu nitatafakali nakumpa jina lake mwenyewe na kama ikiwezeka nitamuita: Defajo
 
Dedication kwa baby boy wetu..the very day you came to me, my whole life became brand new Oohh baby...
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom