Naombeni CV ya Kapteni Komba, wa TOT

Kepteni naye wamo..lol...Kaungaunga viDiploma vya kutosha aisee:D:D

Pamoja na kuungaunga viDiploma angalia bonge la salary analochukua kwa kuwa member wa kupumzika pale mjengoni Dodoma. Zero meaningful contributions but at the end of the moon the guy gets Tshs 7m plus.
 
Last edited:
Komba moungo sana anatakiwa atuelezee kuhusu iyo diploma yke ya sanaa aliyoipata kutoka Bagamoyo mimi nna uhakika kwa asilimia zaidi ya 100 huyu bwana akuwahi kusoma kile chuo...I have lived 15 years in that college na sijawaho kumuona komba akisoma tena katika miaka iyo...several times alikuwa anakuja na kundi lake la TOT kuweka kambi labda kama nayo iyo ndo Dipoloma anayoizungumzia
 
Komba moungo sana anatakiwa atuelezee kuhusu iyo diploma yke ya sanaa aliyoipata kutoka Bagamoyo mimi nna uhakika kwa asilimia zaidi ya 100 huyu bwana akuwahi kusoma kile chuo...I have lived 15 years in that college na sijawaho kumuona komba akisoma tena katika miaka iyo...several times alikuwa anakuja na kundi lake la TOT kuweka kambi labda kama nayo iyo ndo Dipoloma anayoizungumzia

Mkuu mbona ni kawaida kwa viongozi wetu kutembelea vyuo na kujipatia degee hadi za falsafa bila kuzama class hata cku moja.Kuna mmoja hadi alipatia ndani ya mjengo wa bunge dom!
Nakumbuka nilipokuwa Songea boys miaka hiyo mzee Gamma ambaye alikuwa mbunge wa songea mjini aliulizwa swali na waboyz wakati wa kampeni kuwa tunasikia kuwa una PhD na kama ni kweli utuambie research yako ulifanya kitu gani? Mzee alikasirika hadi basi na akaishia kutoa vyeti vimeandikwa kwa Kijerumani kama siyo kirumi!
 
Mkuu mbona ni kawaida kwa viongozi wetu kutembelea vyuo na kujipatia degee hadi za falsafa bila kuzama class hata cku moja.Kuna mmoja hadi alipatia ndani ya mjengo wa bunge dom!
Nakumbuka nilipokuwa Songea boys miaka hiyo mzee Gamma ambaye alikuwa mbunge wa songea mjini aliulizwa swali na waboyz wakati wa kampeni kuwa tunasikia kuwa una PhD na kama ni kweli utuambie research yako ulifanya kitu gani? Mzee alikasirika hadi basi na akaishia kutoa vyeti vimeandikwa kwa Kijerumani kama siyo kirumi!
Ndio type ya viongozi wetu tulio kuwa nao Tanzania. na pia jaribu kutazama wanafanya nini hasa katika kulisaidia taifa hili kutoka katika hali duni ya umaskini ya kupindukia kama ilivyo sasa, Sasa ni Jukumu la watu wa Mbinga kumkataa huyu jamaa
 
Ndio type ya viongozi wetu tulio kuwa nao Tanzania. na pia jaribu kutazama wanafanya nini hasa katika kulisaidia taifa hili kutoka katika hali duni ya umaskini ya kupindukia kama ilivyo sasa, Sasa ni Jukumu la watu wa Mbinga kumkataa huyu jamaa

Kama ndio hivyo basi TZ tuna kazi jamani. Manake Nchimbi nae kutwa kwenye siasa lakini ukiangalia mivyeti utafikiri anashinda shule miaka yote. Inatisha ukiona wote hao ni wa huko huko Ruvuma, nyumbi hii bombi hii!
 
Ndio type ya viongozi wetu tulio kuwa nao Tanzania. na pia jaribu kutazama wanafanya nini hasa katika kulisaidia taifa hili kutoka katika hali duni ya umaskini ya kupindukia kama ilivyo sasa, Sasa ni Jukumu la watu wa Mbinga kumkataa huyu jamaa

Acha mazee umpigie chapuo Mwamvita Makamba!
 
Acha mazee umpigie chapuo Mwamvita Makamba!
Mzee wangu hapana siyo hivyo Lipo very conservative katika mambo ambayo naamini ni msaada katika taifa, Ila nilitaka kuibua mjadala na kuona kuwa kuna watu wachache sana katika Taifa letu ambalo kwao kwa sababu baba yao walikuwa na nafasi zao na wao ndio wamepata kupata nafasi hizo, Ila katika mawazo yote ya wasomaji sijaona lolote baya la MWamvita japo Baba yake ana vitimbi kama vile Ze comedy..
 
Komba moungo sana anatakiwa atuelezee kuhusu iyo diploma yke ya sanaa aliyoipata kutoka Bagamoyo mimi nna uhakika kwa asilimia zaidi ya 100 huyu bwana akuwahi kusoma kile chuo...I have lived 15 years in that college na sijawaho kumuona komba akisoma tena katika miaka iyo...several times alikuwa anakuja na kundi lake la TOT kuweka kambi labda kama nayo iyo ndo Dipoloma anayoizungumzia
Labda evening classes alizokuwa anazifanya paradise hotel. Yeye amesema amesoma Bagamoyo sasa utafanyaje
 
Sisi Wadau ndio maana tunataka kuona watu kama hawapewi tena madaraka katika uchaguzi ujao
 
Hakika kama kuna kila mtu ana wajibu basi watu wa Taifa la Tanzania, Hapa lengo langu ni kuonyesha jinsi gani siasa za taifa hili zinavyoweza kumfanya mtu wa kawaida kuonekana kuwa ni wa maana sana
 
Josh;

Katiba ya jamhuri ya muungano haisemi kuwa lazima uwe na degree au Phd ndo uwe mbunge.

Kwahiyo tatizo sio la wananch wa jimbo lake tatizo ni la kitaifa!!

Nilimaanisha hivyo.

FP
 
Hehehehehe...kati ya Komba na baadhi ya watu wenye PhD sioni tofauti yao...Lol
Kwa siasa za Bongo huoni tofauti kubwa, ndio maana kuna madudu kibao huko na kule, Tanzania Siasa imemeza Elimu ndio maana tunapata shida sana katika kujua na kutambua jinsi gani kunakuwa na umuhimu sana wa viongozi wetu kuwa na vision, Taifa letu limebaki hapa hapa kwa miaka nenda kwa ajili hiyo
 
Kuna kundi la wanaharakati lilikuwa linadai kuwa labda Katiba ibadilishwe ili hata rais asiwe na degree au Elimu ya sekondari
 
Muimbaji mahiri! Moja ya nyimbo zake nyingi maarufu ni ile ya mdudu aliyevamia kitanda cha baba na mama akihamasisha kampeni za ugonjwa wa AIDS. TBC hawajaionyesha muda mrefu kidogo lakini I like the song. Siasa za bungeni sijui sana uwezo wake ukoje. Labda ni guru wa kusikiliza na kushauri akiwa nje ya ukumbi wa bunge kuliko mjengoni na kuhimiza maendeleo jimboni? Maana wapo watu wa aina hiyo pia

nyie mnaomsema mbunge wetu wa mbinga ndio mna matatizo makubwa kuliko yeye!!hivi nani katika nchi hii asiyejua mchango wa Komba katika kuhamasisha jamii kwa kutumia sanaa? hizo masters zenu si ndo zimetufikisha hapa!!Au hamjui hapa tulipo kiuchumi,kijamii na kisayansi ni majumuisho ya uwezo wetu wote Watanzania katika kukabiliana na changamoto zetu??tunatumia page nyingi kumsema mtu mmoja huku sisi wenyewe michango yetu katika jamii ikiwa haijulikani kabisa!!!c'on guys is an insult to democracy itself...
 
Back
Top Bottom