Josh Michael
JF-Expert Member
- Jun 12, 2009
- 2,523
- 91
Katika Kuelekea Uchaguzi Mkuu Mwakani leo naombeni kama kuna mdau anajua CV ya Kampeni Komba yule wa TOT ili tuone jinsi alivyo watu watambue kiwango alichonacho Kielimu na kama kweli anaweza kuwa mwakarishi mzuri ndani ya Bunge, Nasikia kuwa ameweza kupata Degree ya open university ya Commwealth ya Political Science..Wadau tunaomba ukweli huu