Naombeni CV ya Kapteni Komba, wa TOT

Josh Michael

JF-Expert Member
Jun 12, 2009
2,523
77
Katika Kuelekea Uchaguzi Mkuu Mwakani leo naombeni kama kuna mdau anajua CV ya Kampeni Komba yule wa TOT ili tuone jinsi alivyo watu watambue kiwango alichonacho Kielimu na kama kweli anaweza kuwa mwakarishi mzuri ndani ya Bunge, Nasikia kuwa ameweza kupata Degree ya open university ya Commwealth ya Political Science..Wadau tunaomba ukweli huu
 
Katika Kuelekea Uchaguzi Mkuu Mwakani leo naombeni kama kuna mdau anajua CV ya Kampeni Komba yule wa TOT ili tuone jinsi alivyo watu watambue kiwango alichonacho Kielimu na kama kweli anaweza kuwa mwakarishi mzuri ndani ya Bunge, Nasikia kuwa ameweza kupata Degree ya open university ya Commwealth ya Political Science..Wadau tunaomba ukweli huu


http://www.parliament.go.tz/bunge/mpcv.php?users=24&const=104&button=Go

Company Name Position From Date To Date

CCM Chief Culture 1992 2005
Tanzania One Theathre (TOT) Executive Director 1992 2005
JWTZ Chief Culture 1978 1992
Ministry of Education Teacher Grade III 1977 1978
 
Katika Kuelekea Uchaguzi Mkuu Mwakani leo naombeni kama kuna mdau anajua CV ya Kampeni Komba yule wa TOT ili tuone jinsi alivyo watu watambue kiwango alichonacho Kielimu na kama kweli anaweza kuwa mwakarishi mzuri ndani ya Bunge, Nasikia kuwa ameweza kupata Degree ya open university ya Commwealth ya Political Science..Wadau tunaomba ukweli huu

Dah,punguza haraka basi mkuu..Kwa kumbukumbu sahihi ni Captain(Kapteni) Komba na siyo Kampeni Komba
 
Last edited:
Haya kaka hangaika nayo iyoo..

EDUCATIONS School Name/Location Course/Degree/Award Start Date End Date Level

Lituhi Primary School Primary Certificate 1963 - 1969

Songea Boys Secondary School O-Level Education 1971 1974

Kleruu TTC Certificate 1975 - 1976

Cadet Training Unit - Monduli (Diploma) 1978 - 1979

Magdeburg - Germany (Diploma) 1988 - 1990

Chuo cha Sanaa - Bagamoyo (Diploma) 1986 - 1988
 
Last edited:
Haya kaka hangaika nayo iyoo..

EDUCATIONS School Name/Location Course/Degree/Award Start Date End Date Level

Lituhi Primary School Primary Certificate 1963 - 1969

Songea Boys Secondary School O-Level Education 1971 1974

Kleruu TTC Certificate 1975 - 1976

Cadet Training Unit - Monduli (Diploma) 1978 - 1979

Magdeburg - Germany (Diploma) 1988 - 1990

Chuo cha Sanaa - Bagamoyo (Diploma) 1986 - 1988

Kepteni naye wamo..lol...Kaungaunga viDiploma vya kutosha aisee:D:D
 
Mhhh kwenye CV yangu hakuna nafasi ya Primary wala secondary school....vicertificate na na course fupi fupi siweki maana naweza kuwa na CV ya page 20!
 
Josh Michael,

Li-CV la Major Komba ndilo hilo hapo.

Ukijumlisha Diploma tatu na Cerificate moja (2+2+2+1) na uzoefu nadhani yupo katika kiwango sahihi?
 
Haya kaka hangaika nayo iyoo..

EDUCATIONS School Name/Location Course/Degree/Award Start Date End Date Level

Lituhi Primary School Primary Certificate 1963 - 1969

Songea Boys Secondary School O-Level Education 1971 1974

Kleruu TTC Certificate 1975 - 1976

Cadet Training Unit - Monduli (Diploma) 1978 - 1979

Magdeburg - Germany (Diploma) 1988 - 1990
Sa
Chuo cha Sanaa - Bagamoyo (Diploma) 1986 - 1988
Sasa je na sasa amepata Degree yake Open university, Naona Mwakani atakuja na mengine na bora zaidi kuzidi haya
 
Mhhh kwenye CV yangu hakuna nafasi ya Primary wala secondary school....vicertificate na na course fupi fupi siweki maana naweza kuwa na CV ya page 20!

Ndo CV za wanasiasa wetu hizo,yaani unakuta vicertificate na na course fupi fupi kibao halafu mwisho anamalizia na STD IV,au VII,au form II...Angalia za wabunge wa ng'ambo ya bahari(Zenji) ama za wale wa Viti maalum ndo utaona vituko...Inasikitisha sana,maana ndo watunga sheria wetu hawa
 
Mkuu Masanilo
Hiyo ndio nini hasa, hapo kwenye blue

Bila ya dhihaka anaimanisha yeye alikuwa mcheza ngoma wa JWTZ na Mwimba Kwaya wa CCM...! Leo yuko Bungeni anajadili EPA na Meremeta....ndiyo maana tupo wa ovyo ovyo...huko Mbinga hakuna hata Mwalimu wa secondary mwenye Diploma?
 
Bila ya dhiahaka anaimanisha yeye alikuwa mcheza ngoma wa JWTZ na Mwimba Kwaya wa CCM...! Leo yuko Bungeni anajadili EPA na Meremeta....ndiyo maana tupo wa ovyo ovyo...huko Mbinga hakuna hata Mwalimu wa secondary mwenye Diploma?

Hahahahaha mkuu dah utanilipa kwa kunivunja mbavu zangu kha!
 
Mpwa watu wa Mbinga ni ovyo ovyo sana kama Mbunge wao Komba John. Unategemea jimbo litatoka vipi, jamaa huwa amelala bungeni kila siku? Kahawa na mazao yao ya biashara nani atawatetea? Kulingana na sensa ya 2002 mbinga ina wananchi 404,799...kati ya wote hawa John Komba ndiye bora zaidi na mwenye upeo!
 
Mpwa watu wa Mbinga ni ovyo ovyo sana kama Mbunge wao Komba John. !

Alafu unajua alichaguliwa bila kupingwa hata kampeni hakupiga Kaptain Komba yeye alikuwa anazunguka tu na JK msishangae mwakani akawa waziri wa Utamaduni huyu huyu si tupo maana fadhira JK atarudishaje?
 
Mhhh kwenye CV yangu hakuna nafasi ya Primary wala secondary school....vicertificate na na course fupi fupi siweki maana naweza kuwa na CV ya page 20!

Chukua kadi ya CCM kagombee ubunge. Sifa unazo mkuu.
 
Bila ya dhihaka anaimanisha yeye alikuwa mcheza ngoma wa JWTZ na Mwimba Kwaya wa CCM...! Leo yuko Bungeni anajadili EPA na Meremeta....ndiyo maana tupo wa ovyo ovyo...huko Mbinga hakuna hata Mwalimu wa secondary mwenye Diploma?


Hilo linakushangaza nini mkuu? Hayo ndo mambo ya CCM. Kina Hadija Kopa, Asha Baraka na yule mzee wa maigizo nshasahau jina lake (nadhani mzee Jongo) wote ni vigogo wa CCM. Wajumbe wa NEC. CCM Tambarare
 
Back
Top Bottom