Naombeni chaka la kinyozi/ vinyozi wazuri bei kitonga

Naombeni chaka la kinyozi/ vinyozi wazuri bei kitonga

R_Breazy

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2025
Posts
337
Reaction score
666
Wakuu habari za wakati huu

Naombeni mnipe location ya vinyozi wazuri mtaani bei kitonga (achana na izi babershop unafutwa na mataulo ya maji bei juu😅
Kipindi nipo maeneo ya mikocheni nikuwa naenda kwa msela mmoja wakuitwa KATUNI alikuwa anapatikana kinondoni manyanya bei 3k jamaa alikuwa fundi sana.
Nimetoka nimerudi naenda kunyoa naambiwa jamaa kashavuta (washazika kitambo) so sad but maisha lazma yaendelee 😣🙌 nimenyoa hapo mara mbili ila mara zote sjaridhika kabisa japo anajitahidi ila bado sjamwelewa tu. Napiga hesabu napotokea kwenda SAIVI na vyenye kinyozi ananitoa naona si kweli.
NImehamia Yombo huku maeneo ya chama, naomba mwenyeji anayejua kinyozi mzuri anielekeze kwa maeneo ya chama(makaburi ya city) au maeneo yoyote jirani na sehemu nilipo.
Natanguliza shukrani 🙏🙏
 
Kinyozi tu wa bei chee unamtafuta mitandanoni kwa kuulizia!!! Upo serious na maisha.
Wakuu habari za wakati huu

Naombeni mnipe location ya vinyozi wazuri mtaani bei kitonga (achana na izi babershop unafutwa na mataulo ya maji bei juu😅
Kipindi nipo maeneo ya mikocheni nikuwa naenda kwa msela mmoja wakuitwa KATUNI alikuwa anapatikana kinondoni manyanya bei 3k jamaa alikuwa fundi sana.
Nimetoka nimerudi naenda kunyoa naambiwa jamaa kashavuta (washazika kitambo) so sad but maisha lazma yaendelee 😣🙌 nimenyoa hapo mara mbili ila mara zote sjaridhika kabisa japo anajitahidi ila bado sjamwelewa tu. Napiga hesabu napotokea kwenda SAIVI na vyenye kinyozi ananitoa naona si kweli.
NImehamia Yombo huku maeneo ya chama, naomba mwenyeji anayejua kinyozi mzuri amuelekeze kwa maeneo ya chama(makaburi ya city) au maeneo yoyote jirani na sehemu nilipo.
Natanguliza shukrani 🙏�
 
Karibu Morogoro nina vinyozi wawili wa bei kitonga 1. Bei 1500 aisee jamaa ni ananyoa balaa hakosei, 2) Bei 3,000 jamaa yupo vizuri sana. Yaani niikiendaga Job wanasema nanyolewaga juu ya 5000 au 6000 kwa vinyozi wa Daslam kijitonyama enzi hiyo miaka kumi imepita ndo nilikuwa nanyoa kwa 5,000
 
Tafuta vijana au watu wazima wanaojipenda na hawana maisha ya juu sana, waulize wananyoa kwa nani, fanya hivyo zaidi ya mtu mmoja, utapata kinyozi unayemtaka. Ukweli baba shop nyingi vinyozi ni wa kawaida sana, kinachowabeba ni kuoshwa na hao wadada.
 
Karibu Morogoro nina vinyozi wawili wa bei kitonga 1. Bei 1500 aisee jamaa ni ananyoa balaa hakosei, 2) Bei 3,000 jamaa yupo vizuri sana. Yaani niikiendaga Job wanasema nanyolewaga juu ya 5000 au 6000 kwa vinyozi wa Daslam kijitonyama enzi hiyo miaka kumi imepita ndo nilikuwa nanyoa kwa 5,000
Ingependeza wangekuwa DSM
Ningeishi na huyo wa 3k
 
Tafuta vijana au watu wazima wanaojipenda na hawana maisha ya juu sana, waulize wananyoa kwa nani, fanya hivyo zaidi ya mtu mmoja, utapata kinyozi unayemtaka. Ukweli baba shop nyingi vinyozi ni wa kawaida sana, kinachowabeba ni kuoshwa na hao wadada.
Wazo zuri ntafanya hivyo
 
Tafuta vijana au watu wazima wanaojipenda na hawana maisha ya juu sana, waulize wananyoa kwa nani, fanya hivyo zaidi ya mtu mmoja, utapata kinyozi unayemtaka. Ukweli baba shop nyingi vinyozi ni wa kawaida sana, kinachowabeba ni kuoshwa na hao wadada.
Wazo zuri ntafanya h
Kinyozi tu wa bei chee unamtafuta mitandanoni kwa kuulizia!!! Upo serious na maisha.
Kuna shida mahali, nimekukwaza?!
 
Ipo sinza hii kiongozi
 

Attachments

  • FB_IMG_1778858859528.jpg
    FB_IMG_1778858859528.jpg
    48.4 KB · Views: 17
Nisikilize mimi.

Mabibo hostels, pale pana saloon tatu, izo saloon ukinyoa utanishukuru.

1. Ipo ya buku mbili, jamaa fundi kinoma.
2. Ipo ya buku tatu jamaa fundi kinoma sema bishoo yupo slow.
3. Hii ndio funika. Ya buku tano. Hatari.

Siku zote ukitaka vitu cheap Hafu quality nzuri, nenda karibu na vyuo.

Vyakula bei ndogo, saloon cheap, printing bei ndogo nk.

Narudia tena, nenda Mabibo hostel.
 
Back
Top Bottom