Akilibandia
JF-Expert Member
- Aug 1, 2015
- 469
- 615
Maisha yana siri haya, ndio maana watu wanaishi. Hata sio avatar, muandiko tu.Wow! Ahsante 😍, is it avatar ama ni nini kinakufanya uvutiwe mkuu?
Maisha yana siri haya, ndio maana watu wanaishi. Hata sio avatar, muandiko tu.Wow! Ahsante 😍, is it avatar ama ni nini kinakufanya uvutiwe mkuu?
Hahahaha!Angejua wewe ndio yule mpenzi wake wa sasa hivi, wala asingetamka hayo.
Kwakweli, ahsante sana nafurahi kusikia pamoja na muandiko huu mbovu mbovu kuna watu wanavutiwa,ila namimi huwa inatokea mkuu😘 hii siri hii🙌Maisha yana siri haya,ndio maana watu wanaishi.Hata sio avatar,muandiko tu.
Nimekusoma kiongozi, shukrani.Nikupongeze kwanza kwa kitita taslim cha sh 4M,hongera sana mkuu!!.
Matuamaini makubwa ni kwamba mwaka huu mwezi JAN ulikuwa ushachora raman yako na mikakati yako ya kutusua kiuchumi kwa mwaka huu 2021.Basi kama haukuwa namichro ya kivita kuishinda vitaa hii basi ni better ukarudi kwenye handaki nakujipanga upya kabla hujaanza kuingia vitani,kwani ukiingia vitani nakutokujua wapi utashika ngome na wapi utaweka defence hapo nikuishia kubutuliwa chuma au kulipukiwa na bomu ambalo litakuacha na maafa makubwa mnoo.Lakini kama ulichora mipango yako basi ni wazi ukaishusha hapa kwenye huu uzi tukaona nini unawaza ili wadau tukupe ushauri na direction juu ya hio michoro yako.
Binafsi kwa eyo 4M ningetupua bank 2M kwanza na kuchora mchakato wangu wakufanya modern entrepreneurship (naachana na yale mambo ya kuweka karanga na busi kwenye mfuko wa plastic na kupanga road nitafute wateja),ningefanya yafwatayooo.
1.Open ka retstaurant ka chakula kwa kuzingatia location .hapa sitakuwa na haraka ya kutengeneza hela nyingii ,lengo langu litakuwa ni kuhakikisha usafii,modern investment ya restaurant imezingatiwa ilikuwavutia wateja,kuwatarget wateja wa mbalikwa kuinvest katika online business(ordering and derivery).
2.Naweza nkataka kujua namna ya hizi biashara za bodaboda zinaweza kunipaje faida.Kwa maaana vijana wengi wameipokea fursaa hii na kuifanya kuwa ajira katika harakat zao za kuhakikisha dona linapatikana.Tunasikia ya kuw bodaboda wengi ya kuwa kuna changamoto katika ajira hii na ukiangalia tu kwa upande mmoja unaona bodaboda ni nying kuliko vityu vya kufanyia services... sasa hapa achana na ile dhana ya kununua bodaboda ww ingia mjini kkoo na mitaani kulaa research kisha fungua bishara.
Try hizi kwanza na ile amount ya 2M unaiweka fixed bank au unaweza kuwait ukiinaza ezo biz unakuwa unaboost nayooo ......
PORTO WIN.BENFICA WIN..CLERMONT FOOT WIN..ZAMALEK WIN OR DRAW..THANK ME LATER.Habari za weekend wanajamvi,
Nina tegemea kupata 4M ndani ya siku kadhaa zijazo kusema kweli natamani nifanyie jambo ili izalishe imebidi niombe mawazo kwenu wadau.
Matumizi ya kawaida ninayo lakini nimeona kuiwekeza ni wazo zuri zaidi.
Je kama niwewe ungefanyia nini?!
Nawasilisha.
kheriiiNimekusoma kiongozi, shukrani.
Sijakiri kupinga ama kuunga hoja, la hasha!! Namaanisha huenda aliwahi kukumwagia Sera akiwa na ID nyingine au wewe ukiwa na ID nyingine.Mpandisha salaries umetokea wapi tena? Unamaanisha yule mpenzi wake wa zamani ambaye unasema ni mimi alikua ugly ama. Kwahiyo unapinga suala la yeye kuvutiwa?
Kabisa. Ukiandika mipango yako, siku pesa ikipatikana unaanza utekelezaji tu. Kimsingi mipango ndio inakupa mbinu sa kusaka mtajiNa ukisubiri uipate pesa ndio upange cha kufanya kitambo uje upate chakufanya hiyo hela inaweza ikawa ilishaondoka.
Hivyo ku plan kabla pia ni muhimu ili ukiipata tu moja kwa moja unaiweka katika ulicho plan.
Cheza michezo ya kubahatisha , kamari pal NEw Africa, bashiri mechi za Simba na Man u , utakula kila siku, mwisho wa msimu mtaji utaongezeka na msimu ukianza mwengine iwe ni tabia yako ya ku-bet.Habari za weekend wanajamvi,
Nina tegemea kupata 4M ndani ya siku kadhaa zijazo kusema kweli natamani nifanyie jambo ili izalishe imebidi niombe mawazo kwenu wadau.
Matumizi ya kawaida ninayo lakini nimeona kuiwekeza ni wazo zuri zaidi.
Je , ama niwewe ungefanyia nini?
Nawasilisha.
Zaidi soma:
- Baadhi ya njia unazoweza kutumia kupata wazo bora la biashara (Business Idea
Mtaji wa Tsh. Milioni 1 hadi 5: Naweza kufanya Biashara gani Tanzania?
Wakubwa nina mtaji wa shilingi milioni mbili na nataka nifanye biashara. Je, biashara gani ninaweza kufanya kulingana na pesa hiyo? Nimetafakari sana ila nakosa kujua kwa usahihi biashara gani inanifaa. =========== SIMILAR CASES: =========== May 18, 2012: Msaada jamani nataka kufanya biashara...www.jamiiforums.com- Mtaji wa Milioni 5-10 (TZS): Biashara gani unaweza kufanya?
Natafuta eneo la sokoni,stand,gereji
Natafuta fundi njaa chini namwaga rafu na vipande vya tiles, natafuta chuma 4 nazisimamisha juu naezeka turubai au mabati used..
Nanunua jiko la kuchomea nyamaa na vyombo kadhaa,,kazi inaanza
Asubuhi supu ya kichwa,kongoro,ulimi na mkia. Ndizi za kuchemsha
Ugali pande
Ugali samaki choma
Ugali kuku choma
Ugali utumbo choma
Ugali maini chomaa
Ndizi choma n.k
Baadae tengeneza kibanda cha chuma kwa ajili ya kuhifadhia friji weka vinywaji baridi na vya kupimaa...
Nitaendelea