DLS
JF-Expert Member
- Feb 18, 2015
- 245
- 151
Habari za weekend wanajamvi,
Nina tegemea kupata 4M ndani ya siku kadhaa zijazo kusema kweli natamani nifanyie jambo ili izalishe imebidi niombe mawazo kwenu wadau.
Matumizi ya kawaida ninayo lakini nimeona kuiwekeza ni wazo zuri zaidi.
Je , ama niwewe ungefanyia nini?
Nawasilisha.
Zaidi soma:
Nina tegemea kupata 4M ndani ya siku kadhaa zijazo kusema kweli natamani nifanyie jambo ili izalishe imebidi niombe mawazo kwenu wadau.
Matumizi ya kawaida ninayo lakini nimeona kuiwekeza ni wazo zuri zaidi.
Je , ama niwewe ungefanyia nini?
Nawasilisha.
Zaidi soma:
- Baadhi ya njia unazoweza kutumia kupata wazo bora la biashara (Business Idea
-
Mtaji wa Tsh. Milioni 1 hadi 5: Naweza kufanya Biashara gani Tanzania?
Wakubwa nina mtaji wa shilingi milioni mbili na nataka nifanye biashara. Je, biashara gani ninaweza kufanya kulingana na pesa hiyo? Nimetafakari sana ila nakosa kujua kwa usahihi biashara gani inanifaa. =========== SIMILAR CASES: =========== May 18, 2012: Msaada jamani nataka kufanya biashara...www.jamiiforums.com - Mtaji wa Milioni 5-10 (TZS): Biashara gani unaweza kufanya?