Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 23,568
- 70,543
Mkaa sishauri una mambo mengi sana. Soma humu 👇Kama upo mjini tafuta vibali ufanye biashara ya mkaa au gas. Nimemaliza.
Hizi kodi na tozo za mkaa ni kodi za dhuluma Serikali iziangalie upya
Niende moja kwa moja katika maada yangu. Nina amini kuwa humu ndani ya JF kuna watendaji wa serikali wakiwemo wa wizara ya Maliasili na utalii na pia wa wizara ya fedha na wa TRA. Ningependa sana na wale wote mlio kirani Mhe. Rais na Makamu wake muwafikishie kilio hiki. Kiukweli biashara ya...
www.jamiiforums.com