uko kny situation km yangu,najiuliza niendelee kupiga box kwa hela ambayo siioni mwisho wa mwezi baada ya kulipa bills,.................au niingie kusoma nipate professional job.......,na kusoma ukiwa mtu mzima kuna changamoto zake uko darasani unawaza utalipa lini rent? lols
uko kny situation km yangu,najiuliza niendelee kupiga box kwa hela ambayo siioni mwisho wa mwezi baada ya kulipa bills,.................au niingie kusoma nipate professional job.......,na kusoma ukiwa mtu mzima kuna changamoto zake uko darasani unawaza utalipa lini rent? lols
Nataka kusoma lakini mda mwingi nakuwa na mawazo juu ya maisha yalivyo nikalia vigumu
Mkuu yan tupo kwenye tatzo moja...me nafnya kazi..na kidogo nilipiga I.T sikuendelea ghafla nikapata kijikazi cha kujikimu japo siridhiki na nikipatacho...nashindwa kujigawa...nataka kusoma ila kazi inabana,nikiangalia kodi na baadhi ya vitu vinanikabili kutokana na kazi yangu...ukweli nakua sina njinsi ila napenda kusomea nacho kipenda
MAJUKUMU MZIGO
uko kny situation km yangu,najiuliza niendelee kupiga box kwa hela ambayo siioni mwisho wa mwezi baada ya kulipa bills,.................au niingie kusoma nipate professional job.......,na kusoma ukiwa mtu mzima kuna changamoto zake uko darasani unawaza utalipa lini rent? lols
Au urudi nikuweke kinyumba
Evening classes je!!!!!!!!!
au kazi inabana muda wote huo
yan kazini natoka saa moja mpka kufika home saa tatu...yan hua nawaza sana
kiufupi kazi inabana sana ndugu