naomba ushauri

naomba ushauri

ndoa itafugwa tunda litamegwa ole wake bikira iwe imetoka kwa michezo ya rede,kipande kuendesha baiskeli atasimulia

jamaa atakuwa anajua kuliko yeye na hawakawii kutuita majina kama..........

1. mkewangu mzuri na ninampenda sana lakin kitandani hajui kitu

2. hajishughukishi kabisa yupo ka gogo

3. kimoja tu anadai ameshoka

4.kubwa na inamaji mpaka tudeki

uzoefu unahusika
mwisho mi namuasha hanifai demu gani huyu ni bora niende kwa ummy (muuza bar)anayajua mapenzi.

Mh!

Nshaishuhudia kwa shost wangu hii, baada tu ya ndoa karudi kulalamika mambo ya 6*6 hayaendi vzr wamekaa kidogo wameachana, kuonja nako kuna mchango wake lakini.....

Huku kuonjaonja ndo kunakofanya umuone hajui. Imagine ye hajawai na ww hujawai mnajifunza pamoja..u laugh at mistakes u make n enjoy koz hata hujui anaekatika zaidi yukoje.
Mdanganyeni tu mwenzenu...
 
Hadanganywi mtu hapa akiona inafaa anachukua, haifai anatemana nayo, hata ye hakuexpect kukutana na jibu moja.....!!!
 
Kwanza hongera kwa kuweza kuvumilia vishawishi vingi ulivyokutana navyo toka kwa wanaume mbali mbali kabla ya kukutana na huyu mtu wako. Kwa maoni yangu kama kweli ana mapenzi kwako muombe aendelee kuwa mvumilivu hadi mfunge pingu za maisha ila kama anaanza kukutishia kwamba usipompa atakuacha solemba basi mwambie safari njema.





asante bak
 
Last edited by a moderator:
Hongera sana kwa kujitunza kama nikweli, naomba kufaham
i)kama unampenda na yeye anakupenda kweli,
ii)umekaa naye muda gani?
iii) ni mpenzi wako wa ngapi?
iv)unafikiria kuolewa wakati gani, na vp yeye mawazo yake kuhusu ndoa?
v)amewahi kuwa na mahusiano na wangapi kabla ya kuwa na wewe?
vi)Now una hakika kama anaye mwingine au hana? au na yeye ni bikra wa kiume? kama sio huwa anazitulizia wapi hisia zake?

naomba unijibu hayo nitakushauri, kama hutajali ni PM
yes tunapendana na ni mchumba angu wa kwanza, huu ni mwaka wetu watatu tumepanga kuoana mwakani december, ameshakuwa na wanawake 2 kabla ya mimi na kwa jinsi ninavyomuona naona hana msichana mwingine ila sina uhakika saaaana
 
kha!!! dada yangu nakuomba usimpanulie kabisa huyo mwanaume...yaani hasikuvue chupi kabisaaa. hataki amuache.
wanawake kama nyie wapo wachacbe lakini ndio wanawake wa kweli sio hawa wanao gawa utamu. keep it up!!!

Khaaa. ni wewe kweli???Siamini majicho yangu...kumbe mabadiliko yanawezekana
 
Khaaa. ni wewe kweli???Siamini majicho yangu...kumbe mabadiliko yanawezekana

huyu nimemshauri hivyo koz ni bikira....angakuwa ameshagegedwa wala nisingemuonea aibu kumwambia apanue tuu. we men appreciate ladies that view their K as something precious...only to be touched by a man that has put a ring on her finger.
 
huyu nimemshauri hivyo koz ni bikira....angakuwa ameshagegedwa wala nisingemuonea aibu kumwambia apanue tuu. we men appreciate ladies that view their K as something precious...only to be touched by a man that has put a ring on her finger.

Am highly doubtful of th user of this account currently.
Good morning mzabzab
 
Last edited by a moderator:
huyu nimemshauri hivyo koz ni bikira....angakuwa ameshagegedwa wala nisingemuonea aibu kumwambia apanue tuu. we men appreciate ladies that view their K as something precious...only to be touched by a man that has put a ring on her finger.
Hata sikuamini..wewe huna cha bikra wala nini ni mgegedo tu..God have mercy
 
Hata sikuamini..wewe huna cha bikra wala nini ni mgegedo tu..God have mercy
jaribu kutoa ushauri wako kama jinsi mtu alivyoomba na sio kukanusha ushauri wa mtu, am serious na ushauri ninaoomba and you u hav to be serious on it! Owky???
 
jaribu kutoa ushauri wako kama jinsi mtu alivyoomba na sio kukanusha ushauri wa mtu, am serious na ushauri ninaoomba and you u hav to be serious on it! Owky???
Tatizo nini?kwani lazima nitoe ushauri hata kama sina? Kuna ubaya nikimquote mtu na kumjibu accordingly?
 
huyu nimemshauri hivyo koz ni bikira....angakuwa ameshagegedwa wala nisingemuonea aibu kumwambia apanue tuu. We men appreciate ladies that view their k as something precious...only to be touched by a man that has put a ring on her finger.

exactlly!!!!
 
jamani mzabzab kabadilika jameni aminini tu,sasa ili aache kugegeda inabidi wanawake wasio bikra wote warudishiwe bikra zao azawise kugegeda mwanzo mwisho, c eti mzabzab eenh
 
neggirl....usimdanganye mwenzio.

Mentor ndo maana nimesema kama ingekuwa ni mimi, so mshauriwa anaweza ku- buy idea au akapotezea. yani ishu ni kwamba siolewi ng'o bila kujua kama kipo au hakipo na kama kipo JE KINAFANYA kazi ?????? hicho ndo mkate wangu na tamu ya ndoa lol ...kwi kwiiiiii kwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Last edited by a moderator:
mimi ni msichana nina miaka 25 sijawahi kulala na mwanaume hata siku moja lakini mchumba angu ananilazimisha nikamuomba anisubiri mpaka tukioana lakini hanielewi naombeni ushauri wenu

Sijui nikupe ushauri qa maana ya ushauri au ushauri qa maana ya ushari?
Upi ungependelea wewe!

Bazazi!
 
mimi ni msichana nina miaka 25 sijawahi kulala na mwanaume hata siku moja lakini mchumba angu ananilazimisha nikamuomba anisubiri mpaka tukioana lakini hanielewi naombeni ushauri wenu

kwanza hongera kwakuwa mwaminifu then usijaribu kufanya hivyo dada huwenda anatafuta hicho then muachane acha kabisa. Endelea kubana ndo utajua upendo upo au mapenzi. Hongera sana.
 
Mentor ndo maana nimesema kama ingekuwa ni mimi, so mshauriwa anaweza ku- buy idea au akapotezea. yani ishu ni kwamba siolewi ng'o bila kujua kama kipo au hakipo na kama kipo JE KINAFANYA kazi ?????? hicho ndo mkate wangu na tamu ya ndoa lol ...kwi kwiiiiii kwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
neggirl..kwanza una jina kama mwanayumba wangu.
Pili..utajaribu vingapi mamii??!
 
Last edited by a moderator:
neggirl..kwanza una jina kama mwanayumba wangu.
Pili..utajaribu vingapi mamii??!
Mentor pa bluu sijakusomaa kabisaaaa. Haha hahaaaaaaa mpaka mtu ukubali kujaribu nae unakuwa ushamsoma vilivyo lol other wise unacheza pata potea
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom