naomba ushauri

naomba ushauri

******** hongera kwa hilo bt asikuambia mtu bora ujaribu ujue yukoje usije ukakutana na mabo kama yaliyo nikuta mm nilivumilia weeeeeee kuja kukuta kidume hana nguvu za kutosha haya kila la her*******

kumbe ndio maana mnatupa papuchi zenu...kupima kama tuna nguvu za kiume au lah!!! aibu!!
 
mimi ni msichana nina miaka 25 sijawahi kulala na mwanaume hata siku moja lakini mchumba angu ananilazimisha nikamuomba anisubiri mpaka tukioana lakini hanielewi naombeni ushauri wenu

Cute junior, ndoa ni ndoa, asikudanganye mtu, kufung ndoa ni kubariki upendo wenu unaousisha tendo la ndoa. Ndoa inaweza tenganishwa kama matatizo ya kimwili hayatovumilika kwa mwanandoa mmoja wapo. So kujaribu sio lazima. Mambo yakiwa sio mtajua na mwenzio cha kufanya. Ukimpa mtu, nakupa mwezi anakuacha. Trust me.
 
Cute junior, ndoa ni ndoa, asikudanganye mtu, kufung ndoa ni kubariki upendo wenu unaousisha tendo la ndoa. Ndoa inaweza tenganishwa kama matatizo ya kimwili hayatovumilika kwa mwanandoa mmoja wapo. So kujaribu sio lazima. Mambo yakiwa sio mtajua na mwenzio cha kufanya. Ukimpa mtu, nakupa mwezi anakuacha. Trust me.

itakuwa ulimegwa na kubwagwa wewe sii bure
 
kha!!! dada yangu nakuomba usimpanulie kabisa huyo mwanaume...yaani hasikuvue chupi kabisaaa. hataki amuache.
wanawake kama nyie wapo wachacbe lakini ndio wanawake wa kweli sio hawa wanao gawa utamu. keep it up!!!

ufalme wa Mungu unashuka tukae tayari
 
nitamvumilia kwasababu atakuwa ameshakua husband wangu no way out nitakubaliana na yote

kip it up dada, kwani mnatarajia oana lini, ule ngombe akushinde mkia, endelea subiri ingawa jiandae kupata challenge uzishinde tu
 
Cute junior, ndoa ni ndoa, asikudanganye mtu, kufung ndoa ni kubariki upendo wenu unaousisha tendo la ndoa. Ndoa inaweza tenganishwa kama
matatizo ya kimwili hayatovumilika kwa mwanandoa mmoja wapo. So kujaribu sio lazima. Mambo yakiwa sio mtajua na mwenzio cha kufanya. Ukimpa mtu, nakupa mwezi anakuacha. Trust me.
thanx molephe
 
naomba basi ushauri mzuri ndugu yangu!!

Ngoja nikuambie kitu mdogo wangu.Majaribu ni sehemu ya mahusiano.Jambo la muhimu sana ni kumshirikisha Mungu kwa maombi, ili upate mwanga wa nini kilicho mbele yako, maana kumjua mtu mwenye nia ni kazi sana.Mnaweza kuwa mmekaa mda mrefu sana katika uhusiano,mwenzako anatumia hicho kigezo(mda) ili akupate, akishakupata kwaheri!Nina uzoefu toka kwa ndugu yangu wa karibu kabisa,alitoa "Tunda" jamaa akaishia kumzalisha baade jamaa akaingia mitini.Hivyo kuwa na msimamo huohuo,kila la kheri!
 
mimi ni msichana nina miaka 25 sijawahi kulala na mwanaume hata siku moja lakini mchumba angu ananilazimisha nikamuomba anisubiri mpaka tukioana lakini hanielewi naombeni ushauri wenu

Hongera sana aiseee sana cute junior mweeeeh....nakuombea tu usijanjaruke baada ya kuipata hiyo kitu maana kuna mawili either ukapagawa sana na kuitumikisha vilivyo kwa kufidia mda halali uliopoteza(maana ulitakiwa uanze hii mambo ukiwa na 18) au ukajutia sana sasa dada hapa ni kumuomba Mungu sana sana.
 
Sitokuavha njia panda ndugu yangu ila ka vipi funguka coz unataka ushauri take it MAPENZI NI PRIVATE ISSUE SHINE WITH YOUR STAR TO SUCCEED vinginevyo utalost hakuna mtabiri wala mjuzi mmpendana wenyewe jisomeni mjimalize kwa mazuri au mabaya ILIANDIKWA KUTOKEA IVO COZ SEKUNDE HAZIRUDI NYUMA ni hayoo tu
 
Acha ushamba wewe !!!!!!!!! Ile shughuli ya kuzindua pango si ya kitotoooo! Nusu ya kuzaa atiii! Sasa honey moon yote uache kujiachia kwa raha zako uwe unajiuguzaaaaaa! Khaaaaaaaa!

Aint nothing special abt it, especially ukizidi umri kwenda ndo hadhi ya hiyo kitu inashuka! You better give it to some one who waited for it that long! Hapo huyo bwana akikuacha tu lazima uvae chupi kichwani coz kwa design hiyo you wouldnt last few minutes in todays dating games!!!!!!!!!

Fuko la hela lina thamani kubwaa kwa binadamu ila kwa mbwa ni sawa na uchafuuu tu, heri apate fupa moja kuliko fuko zima!
 
Acha ushamba wewe !!!!!!!!! Ile shughuli ya kuzindua pango si ya kitotoooo! Nusu ya kuzaa atiii! Sasa honey moon yote uache kujiachia kwa raha zako uwe unajiuguzaaaaaa! Khaaaaaaaa!

Aint nothing special abt it, especially ukizidi umri kwenda ndo hadhi ya hiyo kitu inashuka! You better give it to some one who waited for it that long! Hapo huyo bwana akikuacha tu lazima uvae chupi kichwani coz kwa design hiyo you wouldnt last few minutes in todays dating games!!!!!!!!!

Fuko la hela lina thamani kubwaa kwa binadamu ila kwa mbwa ni sawa na uchafuuu tu, heri apate fupa moja kuliko fuko zima!

Hahah lara 1 nimeipenda hii analogy. Tatizo la mdogo wake CUTE ni kwamba anataka wote tukubaliane naye. Yes, kama ana uhakika 100% huyo mchumbake hatombwaga kabla ya the big day. Japokuwa kikawaida "anatakowa" asubiri hadi ndoa. Lol
 
Last edited by a moderator:
pole dada kwa majaribu unayopata. mimi nlipata msichana lyk u na akawa hatak kabisa tukutane kimwili. one day nkalazmisha ad nkapga game. toka cku hyo huyo mdada hasikii wala haoni juu yangu. alinikamata mara nying na gals bt hakuniacha. ikafka kipind alitaka kujiua coz of me aliponea hosp. nkaona its not good kumtesa mdada wa watu af amejitunza na nmemuharbia usichana wake, so nkaamua kuachana na gal wangu ili niwe nae. sio siri ana upendo wa dhati kwangu japo kama ningekuwa mtu wa kupita ningemuumiza sana. nafkiria kumuacha ila kila nikifkiria naamua kuahirisha but lolote linaweza toke.
ANGALIA YASIJE YAKAKUKUTA KAMA YA MWENZIO


Sasa wewe ndio hamnazo. Binti ulifungua kitu kutoka kwenye nailoni mwenyewe (Bikiri), halafu anaupendo sasa huko kwingine unataka nini? Wengi hizi bahati wanazililia!
 
kwanza hongera kwa kujitunza, then samahani naomba niulize .......
Mkioana ukakutana na haya utafanyaje?
1)xxl (namaanisha kubwa kuliko hupati enjoymnt)
2)kaduchu sana saizi ya sigara tena nyota
3)ya kawaida afu haifanyi kazi
4)hajui kitu kabisa

omg....
 
Out of curiosity, which is worse akuoe umpe vitu then akuache or umpe now then akuache? Love is all about risk taking! At the end of the day you will have to make that decision
 
Kaka, mbona wewe wifi ulimkuta mpya na ukamsifia sana? Na mie ukanishauri nisiwe na papara, nikajitunza na Paw akanifungua kwenye makaratasi mwenyewe? Sasa unataka dada wa watu asiwe 'kikawaida' awe weird kama lara1?
Hahah lara 1 nimeipenda hii analogy. Tatizo la mdogo wake CUTE ni kwamba anataka wote tukubaliane naye. Yes, kama ana uhakika 100% huyo mchumbake hatombwaga kabla ya the big day. Japokuwa kikawaida "anatakowa" asubiri hadi ndoa. Lol
 
Last edited by a moderator:
Kama ndo mwanaume wake wa kwanza hawezi kujisikia kuwa mambo hayaendi sawa. Kwa sababu hana comparisons. Tatizo unapata wewe mwenye uzoefu kama mkurugenzi wa crdb. Umetumikia mabank 60 hadi ya kata na tarafa. Unaangalia nmb walinipaga nyumba, exim walinipaga gari baya baya, meridian bueau waliingia mtini hadi na account yangu. Actually maisha ni rahisi zaidi kama unaoana na mwenza wako wa kwanza, mnafundishana kwa raha zenu kuanzia a hadi z!
Nshaishuhudia kwa shost wangu hii, baada tu ya ndoa karudi kulalamika mambo ya 6*6 hayaendi vzr wamekaa kidogo wameachana, kuonja nako kuna mchango wake lakini.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom