Ninavyojua mimi kila jambo lina faida na hasara.
"
Kufanya mapenzi kabla ya kuishi pamoja kuna faida na hasara pia.
"
Ukiacha mambo ya dini,ngono ni kitendo kinachoweza kuiharibu kabisa ndoa au kuijenga.
"
Utakapogundua kuwa mwenzio ni mchovu,hajui ngono vyema,si msafi vya kutosha,hana nguvu za kutosha,ana kibamia n.k,mapema kuna uwezekano wa kumrekebisha mapema.
"
Najua haya unaweza pia kuyarekebisha hata mkiwa mume na mke,lakini vipi kama harekebishiki?Je tatizo kama la kibamia?
"
Unaweza ukazungumza kirahisi tu kuwa nitamvumilia,lakini unakuaje na uhakika na hili?
"
Pia jiulize ni kwanini unafunga ndoa?
"
Moja kati ya sababu kuu ni ngono,unadhani unaweza kuishi maisha ya furaha kwenye ndoa kama moja kati ya mhimili mkuu wa ndoa hauko sawa?
"
Usijiambie kirahisi kuwa utavumilia,wengi wamepata msongo wa mawazo na kuishia kuishi maisha ya hasira kwa sababu hii.
"
Hasara ya kufanya ngono kabla ya ndoa mi nadhani ni pale utakapogundua udhaifu wa mwenzio na ukashindwa kuvumilia na ukaamua kumkimbia.
"
Kwangu mimi nadhani kuna faida zaidi kufanya ngono kabla kuliko baada ya ndoa.
"
Kama unaamini zaidi katika dini,hilo ni jambo lingine!