Naomba ushauri wenu

Kama mke hataki we Tafuta ng'ombe zako wawili wa maziwa na pickup ya kufatia majani ya ng'ombe andaa mazingira nyumba iwe nzuri hata kama ni ndogo lakini hakikisha ina hadhi nzuri nyuma weka garden moja safi ya kupimzikia unaihudumia mwenyewe.

kama eneo lipo upande wa pili unapanda zako mboga za majani jion unamwagilia taratibu ukitoka unakamua ng'ombe unachemsha maziwa yako unakunywa huku unaangalia DSTV mechi za Epl,uefa laliga, ukimiss vitu vya town, unaosha mwenyewe pickup yako ya kufatia majani ya ng'ombe tope zote zinatoka inang'aa unapiga mkanda nje unaingia town kuburudika, kula nyama choma kidogo na kusalimia marafiki.
Aise ngoja nishtuke kwanza usingizini
 
Hii tena chai ya rangi kabisa.Hii kitu ukiwaza kama kweli basi mke wake yuko sahihi.

Una nyumba mbili mjini(sijui mji upi) ambazo zinacount 400M.Logic inakuwa kati ya hizi mbilli moja ya kuishi, nyingine inaweza kuwa ya biashara.

Anataka ampeleke mke wake kijijini baada ya kuishi naye miaka 37 mjini maana yake ni kuwa kuna mabadiliko ya kimakazi hapa.Sasa kama ni mabadiliko ni matumaini kwamba huyu mke asingelipokea kizembe kwa maana anaona wanaweza kuyamudu maisha ya mjini(kumbuka wamekaa miaka 37).

Kama sio chai,nadhani akae na mke wake wayamalize tu.Mke akisema yeye kukaa mjini yupo comfortable then itabidi huyu mzee aende zake kijijini maana ni kama wote washakuwa wazee sasa iweje mtu awe mahala ambapo hapendezwi kuwapo
Kule haendi kupata shida ni kubadili mazingila na kula bata baada ya kustaafu, isitoshe nyumba zipo mjini unaweza mala moja moja ukaja mjini kwenye nyumba yako uka kaa wiki kadhaa ukarudi kijijini,

Ni kubadiri tu makazi kwamba kule sasa ndio sehemu ya makazi ya kudumu, makazi ambayo ni tulivu,

Mbona nilipendekeze wazo la kwenda kuishi ulaya na akachekelea sana
 
😁😁😁
109_20210624_121857.jpg
 
Ukweli unaweza kukaa kijijini ulime ila bado uka fail maisha na yakawa ya shida. Unaweza kuweka kambi mjini na maisha yakawa rahisi kwako.

Ni vyema huyo kijana mmoja ukamfundisha biashara. Funguq biashara ya jina lako hapa mjini mweke kijana uliye mlea wewe na kumsomesha. Miaka 5 inatosha kusamamisha biashara na kupata wateja wawili watatu. Ukistaafu, lima kijiji upate wasaa wa kua unaenda mara moja moja( maana unapenda kijijini). Mjini nako kuwe na biashara.

Utafurahia maisha ya uzee kote kote
Kijijini siendi kulima ili kuendesha maisha yangu,

Hivi nipo kijijini na kila mwezi nina 2 m yangu, nilime nini tena , labda kujiweka fiti tu na mazoezi

Siwezi kumwamini kijana yangu yeyote ili kuendesha maisha yangu, hata wewe futa hayo mawazo kama unayo ya kutegemea hawa vijana wetu

Hivi hata kwa mfano tu wewe unakidhi mahitaji ya wazazi wako kama wapo mbali na wewe na wanakutegemea
 
Aaa kuoa tena, lakini kweli ili nipate wa kusaidiana naye kukaangiza na kwenda kula bata mjini mala moja moja,

Ila nikutafuta mtu mzima mwenzangu
Ndio oa mkuu kuanzia miaka 25_30 utazeeka vr ye muache tu akae mjini
 
Kule haendi kupata shida ni kubadili mazingila na kula bata baada ya kustaafu, isitoshe nyumba zipo mjini unaweza mala moja moja ukaja mjini kwenye nyumba yako uka kaa wiki kadhaa ukarudi kijijini,

Ni kubadiri tu makazi kwamba kule sasa ndio sehemu ya makazi ya kudumu, makazi ambayo ni tulivu,

Mbona nilipendekeze wazo la kwenda kuishi ulaya na akachekelea sana
Asee we mzee mi sikuwezi tena kama ushakuwa na jeuri ya kuweka maskani kwenye mataifa ya wenzetu sidhani kama mawazo ya hapa yatukupa taste unayotaka wewe.Nikutakie tu kila lenye kheri katika maisha mapya na mkeo
 
Kama mke hataki we Tafuta ng'ombe zako wawili wa maziwa na pickup ya kufatia majani ya ng'ombe andaa mazingira nyumba iwe nzuri hata kama ni ndogo lakini hakikisha ina hadhi nzuri nyuma weka garden moja safi ya kupimzikia unaihudumia mwenyewe.

kama eneo lipo upande wa pili unapanda zako mboga za majani jion unamwagilia taratibu ukitoka unakamua ng'ombe unachemsha maziwa yako unakunywa huku unaangalia DSTV mechi za Epl,uefa laliga, ukimiss vitu vya town, unaosha mwenyewe pickup yako ya kufatia majani ya ng'ombe tope zote zinatoka inang'aa unapiga mkanda nje unaingia town kuburudika, kula nyama choma kidogo na kusalimia marafiki.
Aise ngoja nishtuke kwanza usingizini
Ewaaaaaaa ,
Wala haupo usingizini hayo ndio maisha nayataka mimi,

Maana yake ni kijijini lakini unaishi kama upo mjini,

Garden safi, ng’ombe wako, kigari chako, nyumba poa,

Unang’ang’ania mjini nini , wakati maisha yako yalikuwa huko,

Nini maana ya kupumzika na pilipilka za mjini,

Na makelele yake
 
Asee we mzee mi sikuwezi tena kama ushakuwa na jeuri ya kuweka maskani kwenye mataifa ya wenzetu sidhani kama mawazo ya hapa yatukupa taste unayotaka wewe.Nikutakie tu kila lenye kheri katika maisha mapya na mkeo
Ndii hivyo ndugu yangu chachalika ujanani ule bata uzeeni, wenzio tuliliona hilo mapema,

Wanasema fainali uzeeni!!

Ni kuomba afya njema tu
 
Kijijini siendi kulima ili kuendesha maisha yangu,

Hivi nipo kijijini na kila mwezi nina 2 m yangu, nilime nini tena lakini kujiweka fiti tu ,

Siwezi kumwamini kijana yangu yeyote ili kuendesha maisha yangu, hata wewe futa hayo mawazo,

Hivi hata kwa mfano tu wewe huko kijijini kwenu unakidhi mahitaji ya wazazi wako?

Na wakati pesa ya kwenda kutanua mjini?

Ata ueleweki
 
Sasa bwana mkubwa fanya jambo moja, hapo kwenye paragraph ya pili fanya mpango urekebishe umeandika wewe ni mke una watoto sita.
 
Mamndenyi,
Nafurahi sana kusikia kauli hii,
Nipo likizo sasa hivi hapa kijijini kila nikiona fulsa ambazo zipo hapa nataka hata sasa hivi nihamie,

Siwezi kukaa sehemu ambayo robo tatu ya maisha yangu nimemalizia huko, furaha yangu naiona ipo hapa kijijini,

Kila kitu cha mjini nimeshakiona sasa nimebakisha nini,

Kama ni maji ya bomba yapo, kama ni umeme upo, kama ni barabara ya lami ipo, mjini ni km 40 tu, usafiri muda wote upo,

Maduka yapo, hewa safi ipo, chakula ndio usiseme ni pesa yako tu, pesa ipo. Tatizo nini hasa kwa hawa wanawake zetu.

Niambie wewe upo kwenu au kwa mume wako?
Unafikira simple ila siyo hivyo.

Una mke kwenye uzee huwezi kuwa huyu huku huyu huku.

Mi nilihamia huku na mtoto tu kivulana cha jirani hata wanangu walikataa, baadaye kidogo binti yangu kanifuata.

Nyumba mjini zipo ila huku niliwahi let say five years before retirement, nikawa naenda job kutoka huku shamba, kila siku nauli ilikuwa elfu kumi, ila nilipenda nizoee mazingira.

Wakati huo niko na separation ya more than fifteen years, ila ndoa ya kikristo ndo hivyo.

Wale vijana wakasema kwa baba yao mama anaishi maporini anariski maisha.

He called me, nikamwambia nipe hela nirudishe mizigo mjini, alishtuka tu hata angenipa nisingerudi mjini.

Anyways ni mambo mengi sana,
 
Andaa plans zako za kuhama bila ya kumshirikisha tena, asikwambie mtu mabadiliko (changes) yanaogopesha kwa hatua ya kwanza, sasa wewe anza mipango badae ni bora ukamuoneshe ulipo fikia kuliko kumpa maneno matupu. Woga lazima awe nao.
Good advice,
Ahsante sana,
 
Ni mateso tu wakishaamaliza kukutumia,

Mimi naona sisi wanaume ni kama watumwa kwa tu so waoa,

Faida ya kuoa ni ndogo sana kuliko hasara,

Nadhani kwa wanaume wa leo bora utafute watoto kwa njia zako kuliko kuishi na hawa watu, ni utumwa tu
mkuu Mwitore kamata Mirinda na Fanta hapo kwa Mangi, kunywa, nakuja kulipa sasa hivi
 
Back
Top Bottom