Naomba ushauri wenu

Hili jambo waelimishe watoto wako kwanza afu wamshawishi mama yao, akigoma tumia udikteta tuu, ww unaenda kijijini yeye abaki mjin kama utaweza kuishi peke yake mjin
Kuna ndugu yangu alioa sehemu ambayo alipangwa kikazi kipindi anaajiriwa tu,na hajawahi kuhama mpaka anastaafu.

Sasa baada ya kustaafu akataka kurudi mkoani kwao yeye na familia yake. Mke akagoma,familia ikajigawa kati so baadhi ya watoto wakaondoka na mshua wao wengine wakabaki na Mama yao.
 
Hili jambo waelimishe watoto wako kwanza afu wamshawishi mama yao, akigoma tumia udikteta tuu, ww unaenda kijijini yeye abaki mjin kama utaweza kuishi peke yake mjin
Hili linanihusu mimi, sipendi mtu wa kushawishiws, mimi nimeshaamua kwenda, akiamua kubaki poa tu, namshukuru Mungu yeye kutamka vile sasa mimi hapa mjini siongezi kitu chochite,

Wasiwasi wangu naye asiwe anajiandaa kunifanyia kitu mbaya
 
Ukishazeeka mke hakusikilizi tena wewe anasikiliza watoto, Tena Kuna muda wanaweka kikao cha kukusema.
 
Mkuu nenda kijijin huyo ambae hataki achana nae kaoe na kasichana ka kustaafia ye muache akae mjini maendeleo mjini ni magumu sana
Aaa kuoa tena, lakini kweli ili nipate wa kusaidiana naye kukaangiza na kwenda kula bata mjini mala moja moja,

Ila nikutafuta mtu mzima mwenzangu
 
Hili linanihusu mimi, sipendi mtu wa kushawishiws, mimi nimeshaamua kwenda, akiamua kubaki poa tu, namshukuru Mungu yeye kutamka vile sasa mimi hapa mjini siongezi kitu chochite,

Wasiwasi wangu naye asiwe anajiandaa kunifanyia kitu mbaya
Sawa lakini kama watoto wamemaliza chuo kikuu n vema kuwashirikisha ila any way, yote yako mikononi mwako.

Mm nakuunga mkono kurudi kijijini, kila la heri
 
mim nashaur wewe uhamie huko.ukapumzike zako huku ukila.zako natural food.utalala.mapema hakuna mafolen,tena utapata hata na ka.mke kadogo kabisa.
 


Mkuu Hongera Sana Kwa Hatua Ya Utumishi Uliotukuka

Ongeza Nyama Kidogo Huo Uelekeo Wa Kijiji, Ni Mkoa, Wilaya ,Tarafa Gani . Kuhusu Mkeo Wewe Mwenyewe Unamuonaje Yaani Lazima Aseme Iwapo Hataki Anataka Mjini Kuna Kazi Gani?
 
Hii ni CHAI
Hii tena chai ya rangi kabisa.Hii kitu ukiwaza kama kweli basi mke wake yuko sahihi.

Una nyumba mbili mjini(sijui mji upi) ambazo zinacount 400M.Logic inakuwa kati ya hizi mbilli moja ya kuishi, nyingine inaweza kuwa ya biashara.

Anataka ampeleke mke wake kijijini baada ya kuishi naye miaka 37 mjini maana yake ni kuwa kuna mabadiliko ya kimakazi hapa.Sasa kama ni mabadiliko ni matumaini kwamba huyu mke asingelipokea kizembe kwa maana anaona wanaweza kuyamudu maisha ya mjini(kumbuka wamekaa miaka 37).

Kama sio chai,nadhani akae na mke wake wayamalize tu.Mke akisema yeye kukaa mjini yupo comfortable then itabidi huyu mzee aende zake kijijini maana ni kama wote washakuwa wazee sasa iweje mtu awe mahala ambapo hapendezwi kuwapo
 

Mkuu Hongera Sana Kwa Hatua Ya Utumishi Uliotukuka

Ongeza Nyama Kidogo Huo Uelekeo Wa Kijiji, Ni Mkoa, Wilaya ,Tarafa Gani . Kuhusu Mkeo Wewe Mwenyewe Unamuonaje Yaani Lazima Aseme Iwapo Hataki Anataka Mjini Kuna Kazi Gani?
Aaaa mkoa tena, ! Ni siri yangu hiyo,

Ila ni mkoa tulivu sana, vivutio vingi sana kwa sisi wastaafu mradi uwe na ka HARRIER kako utapapenda,

Muda wote ni green , hakuna joto,

Kama wewe ni mpenzi wa maua ndio usiseme,
 
Ni mateso tu wakishaamaliza kukutumia,

Mimi naona sisi wanaume ni kama watumwa kwa tu so waoa,

Faida ya kuoa ni ndogo sana kuliko hasara,

Nadhani kwa wanaume wa leo bora utafute watoto kwa njia zako kuliko kuishi na hawa watu, ni utumwa tu
Duh hatari hii!
Sisi tulio nje ya ndoa tunadhani kama nyie mnafaidi kumbe mko utumwani.
 
Wanawake mna nini lakini?

Huwezi kuishi kwa furaha mjini baada ya kustaafu. Hutakuwa na kitu cha kukufanya bize siku nzima.

Sijui hata nikuambie nini.

Ndoa imekubana huna maamuzi, inabidi umsikilize mkeo.

Mie naishi shamba nafurahia maisha ya kustaafu sana japo some obstacles ila ndo hivyo
Mm naacha utani kumbe tuna wastaafu wengi.
 
Kuna ndugu yangu alioa sehemu ambayo alipangwa kikazi kipindi anaajiriwa tu,na hajawahi kuhama mpaka anastaafu.

Sasa baada ya kustaafu akataka kurudi mkoani kwao yeye na familia yake. Mke akagoma,familia ikajigawa kati so baadhi ya watoto wakaondoka na mshua wao wengine wakabaki na Mama yao.
Hatari hii hizi ndio changamoto za demokrasia
 
Andaa plans zako za kuhama bila ya kumshirikisha tena, asikwambie mtu mabadiliko (changes) yanaogopesha kwa hatua ya kwanza, sasa wewe anza mipango badae ni bora ukamuoneshe ulipo fikia kuliko kumpa maneno matupu. Woga lazima awe nao.
 
Ukweli unaweza kukaa kijijini ulime ila bado uka fail maisha na yakawa ya shida. Unaweza kuweka kambi mjini na maisha yakawa rahisi kwako.

Ni vyema huyo kijana mmoja ukamfundisha biashara. Funguq biashara ya jina lako hapa mjini mweke kijana uliye mlea wewe na kumsomesha. Miaka 5 inatosha kusamamisha biashara na kupata wateja wawili watatu. Ukistaafu, lima kijiji upate wasaa wa kua unaenda mara moja moja( maana unapenda kijijini). Mjini nako kuwe na biashara.

Utafurahia maisha ya uzee kote kote
 
Back
Top Bottom