Kipi kimekufanya usiiingie kanisani

Kipi kimekufanya usiiingie kanisani

Niambie Tu

JF-Expert Member
Joined
May 29, 2022
Posts
259
Reaction score
650
Kitu gani kilikufanya usijisikie usitamani tena kuingia nyumba ya ibadani.

Mimi nina mwaka wa 3 niliacha kwenda kanisani baada ya kuona ninayajua mabaya ya waumini wengi kuliko mazuri yao.

Kingine kufanya mapenzi sana na hawa wadada wa kwaya.

Kingine Kuwa mlevi mzinifu nikaona sasa sifai kwenda kanisani.

Niambie na wewe?
 
Kitu gani kilikufanya usijisikie usitamani tena kuingia nyumba ya ibadani.

Mimi nina mwaka wa 3 niliacha kwenda kanisani baada ya kuona ninayajua mabaya ya waumini wengi kuliko mazuri yao.

Kingine kufanya mapenzi sana na hawa wadada wa kwaya.

Kingine Kuwa mlevi mzinifu nikaona sasa sifai kwenda kanisani.

Niambie na wewe?
Uchawa wa Malasusa kulifanya Kanisa kuwa jumuiya ya CCM
 
Mimi ni zile mbegu zilizopandwa kwenye miiba..naskia neno la mungu ila niko bize kidogo nadhani mara ya mwisho kwenda church ni 2014
Mkuu jichunguze, huenda ikawa wewe ndio shetani.

Nilidhan mimi ndio nina muda mrefu ila baada ya kuona hii comment nimekupa vyeo.. 12 years, hadi shetani hapa lazima akukatae wewe muovu
 
Kitu gani kilikufanya usijisikie usitamani tena kuingia nyumba ya ibadani.

Mimi nina mwaka wa 3 niliacha kwenda kanisani baada ya kuona ninayajua mabaya ya waumini wengi kuliko mazuri yao.

Kingine kufanya mapenzi sana na hawa wadada wa kwaya.

Kingine Kuwa mlevi mzinifu nikaona sasa sifai kwenda kanisani.

Niambie na wewe?
Baada ya kugundua ukristu ni biashara.
 
Ebhana e Yule padri bila kupepesa macho akatangaza tuchangie birthday yake, manina, mwaka umekata sijarudi kanisani
 
Back
Top Bottom