Restless Hustler
JF-Expert Member
- Apr 9, 2017
- 4,752
- 18,062
wavuta sigara wanaamini kila mtu anapenda sigara. Huwa sipendi kabisaa hiyo harufu.
Nimekaa kwenye benchi kijiweni nashangaa ghafla mtu kawasha kiberiti puuff. Naangalia pembeni pua yangu inanakutana na moshi mzito wa Sigara. Halafu mtu yupo comfortable kabisaa hana habari. Nikamuwasha kofi mdomoni hadi akatema hiyo Sigara.
Sasa hivi nasubiri nije nichukuliwe maana nasikia ameenda Polisi. Ni mzee wa makomo na ameapa atanifunga. Kama Kuna kifungu chochote cha sheria kinachokataza matumizi ya tumbaku hadharani naombeni ili nijiandae kwa lolote
Nimekaa kwenye benchi kijiweni nashangaa ghafla mtu kawasha kiberiti puuff. Naangalia pembeni pua yangu inanakutana na moshi mzito wa Sigara. Halafu mtu yupo comfortable kabisaa hana habari. Nikamuwasha kofi mdomoni hadi akatema hiyo Sigara.
Sasa hivi nasubiri nije nichukuliwe maana nasikia ameenda Polisi. Ni mzee wa makomo na ameapa atanifunga. Kama Kuna kifungu chochote cha sheria kinachokataza matumizi ya tumbaku hadharani naombeni ili nijiandae kwa lolote