Nimekuwa nikiangalia sana mitindo ya mavazi hasa ya kina dada na kina mama. Mitindo ya nywele, mavazi, viatu, mapambo (acessories) na kadhalika.
Pia nimekuwa nikisikiliza maoni na sababu zao za kuwa na machaguo yao mbalimbali.
Pia kuna mawazo na maoni ya kina kaka na kina baba kuhusu huu mwenendo.
Kwa sasa nimejikuta nimechanganyakiwa.
hivi tunavaa nguo za kubana, kutuacha uchi au kujifunika mwili mzima kwa ajili yao?
Hivi tunavaa kwa ajili ya fasheni? ili tuonekane vizuri na wasichana wenzetu?
Au tunavaa ili tujisikie vizuri wenyewe?
Manake kuna manywele ya kubandika, vipodozi vya kila aina, nguo za kila aina. Je alie muhimu kuona kama nimependeza ni nani?
Kuna wakatu navaa nguo very uncomfortable, mfano kuzuia baridi, tunaenda pati na migongo wazi, tunatembea na viatu virefu. nguo inabana mpaka inaacha alama nk nk
Pia nimekuwa nikisikiliza maoni na sababu zao za kuwa na machaguo yao mbalimbali.
Pia kuna mawazo na maoni ya kina kaka na kina baba kuhusu huu mwenendo.
Kwa sasa nimejikuta nimechanganyakiwa.
hivi tunavaa nguo za kubana, kutuacha uchi au kujifunika mwili mzima kwa ajili yao?
Hivi tunavaa kwa ajili ya fasheni? ili tuonekane vizuri na wasichana wenzetu?
Au tunavaa ili tujisikie vizuri wenyewe?
Manake kuna manywele ya kubandika, vipodozi vya kila aina, nguo za kila aina. Je alie muhimu kuona kama nimependeza ni nani?
Kuna wakatu navaa nguo very uncomfortable, mfano kuzuia baridi, tunaenda pati na migongo wazi, tunatembea na viatu virefu. nguo inabana mpaka inaacha alama nk nk