Kwanini Serikali haipigi marufuku uingizaji wa mitumba?

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Jan 31, 2021
7,204
12,700
Hakuna nchi inayoweza kuendelea bila kulinda na kuendeleza viwanda vya ndani. Na njia kuu ya kulinda viwanda vya ndani ni kuzuia bidhaa cheap kutoka nje ya nchi.

Ndiyo maana China waliikataa Google, facebook nk. Ndiyo maana US waliipiga pini Huawei. Hili jambo mataifa karibu yote ya Afrika wanalichukulia poa, na ndiyo maana karibu bara lote masikini.

Viwanda vyetu vya mavazi haviwezi kuendelea iwapo tunapata nguo na viatu vya bei rahisi vya mitumba kutoka nje.

Ni sekta nyingi inatakiwa kudhibiti cheap imports, nimezungumzia mavazi sababu ndiyo huwa vitu vya kwanza kwa nchi inayoanza kuwa ya viwanda.

Kwanini Serikali haizuii mavazi ya mitumba ili tuanze kupiga hatua za maendeleo?
 
Sababu zilizosababisha nchi ikaruhusu mitumba bado ziko pale pale na inwezekana nyingine zimekuwa kubwa zaidi;
Hivi tuna viwanda vingapi vya viatu?
 
Hakuna nchi inayoweza kuendelea bila kulinda na kuendeleza viwanda vya ndani. Na njia kuu ya kulinda viwanda vya ndani ni kuzuia bidhaa cheap kutoka nje ya nchi. Ndiyo maana China waliikataa Google, facebook nk. Ndiyo maana US waliipiga pini Huawei. Hili jambo mataifa karibu yote ya Africa wanalichukulia poa, na ndiyo maana karibu bara lote masikini.

Viwanda vyetu vya mavazi haviwezi kuendelea iwapo tunapata nguo na viatu vya bei rahisi vya mitumba kutoka nje. Ni sekta nyingi inatakiwa kudhibiti cheap imports, nimezungumzia mavazi sababu ndiyo huwa vitu vya kwanza kwa nchi inayoanza kuwa ya viwanda.

Kwa nini serikali haizuii mavazi ya mitumba ili tuanze kupiga hatua za maendeleo?
Una viwanda vya nguo wewe

Ova
 
Back
Top Bottom