Naomba ushauri kuhusu dini

Mkuu, umekataa kukariri kiarab usichokielewa....wazazi wako wanajuwa nia yako lakini?
 
You are just a Scammer.

Wewe ni mkristo pure, tena mgonga kengele kanisani.

Acha ulaghai, kwa jifanya eti..... Blah .. blah.. blah.

Dini zinyewe za kuja tu...
Amini chochote tu... Acha ulaghai.

Ila

Hakuna moto wala pepo.
Makasiriko hayana nafasi hapa
 
Amen!
 
Maneno yako yananiingia
 
Umeeleweka lakini mkuu ndiyo maana kuna ushauri
 
Wewe hukijui kiarabu bali ulijua kusoma maandishi ya kiarabu na si maana ya maandishi au maneno ya kiarabu

Tafautisha kujua kusoma na kujua maana halafu urudi hapa utuambie hio dini yako(uislamu) unayosema unaijua hukuijua bali ulikuwa ukiimba maneno ya kiarabu kama yule ndege Kasuku na hii ndio shida ya wengi
 
Mungu wa mbinguni anakupenda sana. Kwanza ulibahatika Hukulawitiwa huko Madrassa ukiwa mdogo.

Ukristo ni Uzima. Yesu Kristo ni halisi na kweli.

Ingia katika Nuru ya uzima.
 
Mwache mdada wa watu ajipatie mbingu.Kwenye Uislamu si hakuna mbingu bali kuna pepo tu ambako yanaishi mapepo??!!.
 
Upo sahihi kabisa ndugu na tena Mungu anataka umjue kupitia Yesu Kristo, endelea kuwa mkristo tena shika imani yako vizuri kabisa nawe utakuwa na amani tele na kuupata ufalme wa mbinguni mwishowe. Ubarikiwe!
AMINA
 
Ndugu Yanga kwanza mshukuru Mungu kwa neema uliyoipata ya kujikuta unaenda kanisani. Yesu Kristo ndio njia na kweli na si vinginevyo. Wapo watakaokushauri kwa masihara na mizaha lakini mimi nakuambia ulichokichagua ni sahihi sana na usirudi nyuma. Songa mbele endelea kumtafta Yesu kupitia Biblia na mahubiri.
 
Mwache ajifunze zaidi Ukristo ili aive ktk Ukristo.
 
Maisha ni Yako na mamaumuzi ya mwisho ni yako pia ila hilo halimaanishi usishaurike,

Awali ya yote Nadhani ungeanza kujiuliza kwanini ukisikia Quarani Inasomwa Unalia,Na moja kwa moja majibu yako hayatapishana na kuwa ukiskiliza quaran au mawaidha mwanadamu hujiona si chochote na si lolote katika dunia ila ni mpitaji tu na Quaran na mawaidha humkumbusha mwanadamu ameumbwa ila Amuabudu Mungu Na asisahau kuwa siku moja atakuwa kwenye hesabu,

Pili kuanguka mapepo si kwasabb ni mwislamu maana kuna wengine hawajawahi kuwa waislam kabisa na ni wasaliji wazuri makanisani ila wanaanguka mapepo ila ni kwasababu unamatatizo hayo na huenda hukuwahi kwenda kwa mao ostadhi kuombewa na kuondoka na tatizo hilo,

Mwisho usikurupuke tu kwakufata wengi au marafiki bali Chunguza unakotoka na unakotaka kwenda kuanzia Stara, Mafundisho, Na Maisha katika Jamii kisha ufanye Maamuzi sahihi".


#Mungu Akutangulie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…