Naomba ushauri kuhusu dini

Najitahidi kuelewa, nadhani nimeelewa kuwa tutumie maneno yenye hikma ya Mungu haijalishi yanatokea kitabu gani.

Na wewe unajitahidi kutumia zaidi kile ambacho muhusika ataelewa. Okay ni nzuri hata mi hufanya vivyo hivyo kadri navyoweza
 
Usikimbie hoja.

Hebu ingizia huo mfano wako wa gari linalomilikiwa na familia na hizo sifa zake, katika kufafanua utatu uone unavyojichanganya.
Tumiaa mfano wa mwana mpotevu huo utakuonesha jinsi ufalme wa mbingu ulivyo. Katika masuala ya umiliki.

Achana na huo mfano wangu wa gari, katika huo nilitaka zaidi kuonesha kuwa kidogo kikifanana kila kitu chake na kikubwa unaweza sema ni kimoja na kikubwa na hapohapo ukasema ni kitoto cha kikubwa.
 
Nisaidie tafsiri ya maneno haya-

Tito 2:13

tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa Kristo Yesu, Mungu mkuu na Mwokozi wetu
 
Sawa ila Kama unasali makanisa toka Western world nikuambia tu unapoteza mda
 
Naomba utambuzi wako katika dhana isiyo egemea kwenye imani

Jiwe ni koumbe hai au siyo?
Mkuu!Jibu langu lipo wazi sana,mimi nimekujibu kuwa sifahamu juu ya jiwe kuwa kiumbe hai au kiumbe mfu kwa sababu mimi sina elimu ya mawe!.
Lakini kama unataka nikujibu kwa upeo wa macho yangu,sawa ntakujibu.
 
Dini zimeundwa na watu, wewe fuata dhamira yako, mimi naamini Mungu ni "JUA" kitu ninachokiona. Hata kama sio kweli, hakuna mwenye ukweli, siku roho ikiachana na mwili nitaujua ukweli na kumuona Mungu wa kweli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nisaidie tafsiri ya maneno haya-

Tito 2:13

tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa Kristo Yesu, Mungu mkuu na Mwokozi wetu
Hapa nadhani utafurahi kusikia mkristu anatamka hivi.

Tunatofautiana uelewa kiroho kuna watoto na watu wazima. Paul alitumia usomi wake kuwaelekeza watu katika lugha ambayo wataielewa kwa urahisi. Kuna vitu alivilainisha kwa kusudi jema tu kulingana na anaowaandikia. Wasomi wote hufanya hivyo.

Mitume wote na manabii wote walifanya hivyo, kuliwasilisha jambo kwa namna inayoeleweka kwa wanaowaambia. Ndo maana lazima tutumie akili kuelewa maana na muktadha

Mimi tafakari yangu itakuwa: Katika dunia ilokuwa na miungu mingi kwa levo walokuwa nayo wa juu kuliko wote akawaambia ni Yesu. Ukilinganisha na hiyo miungu. Ndiyo maana akasema Mungu mkuu kwa levo yao.

Titus 2:13, CSB: while we wait for the blessed hope, the appearing of the glory of our great God and Savior, Jesus Christ.
 
Kijana kuna vitu unaandika mpaka unanipa uzito kukujibu. Hakuna uhalisia katika "Infinity" kwa ufupi "Infinity" hai exist.

Kingine usiseme kikwenu kwamba infinity ni subset. Bado unaokena una uwezo mdogo sana wa kufikiri. Kimaana tu infinity ni kisicho mpaka vipi kiwe tena subset yaani kipatikane ndani ya kitu fulani ?

Nakuuliza swali dogo, unakubali kwamba kuna "Infinity series ?"
 
Mbona hizi nyuzi za kunanga uislam zimeibuka ghafla sana hapa Jukwaani ndani ya hii wiki?Kwani kuna ajenda gani?

Mara waislam milioni kumi wanakuwa wakristo kila mwaka,Mara ushauri kuhusu dini na nyingine nyingi kama hizo.

Nadhani kuna haja ya moderators kuwa makini katika kipindi hiki. Nadhani kuna project baadhi ya members wanataka kuifanya.
 
Umeeleweka lakini mkuu ndiyo maana kuna ushauri
Vizuri madam kama umeelewa.

Mimi pia nilikuwa mfungwa wa dini mpaka nilipopata maarifa sahihi kumuhusu Mungu.

Dini zina kifungo na utumwa, kutishana tishana na kujengeana nidhamu ya woga. Tena wanaokutisha wenyewe wanajijua kuwa ni wa hovyo kweli kweli katika nafsi zao.

Simamia hapo hapo unapo paamini dada angu usiyumbishwe upo sehemu salama.

Warumi 8:1 (KJV) Sasa, basi, hakuna hukumu ya adhabu juu yao walio katika Kristo Yesu.
 
umezingua dada, kama hupendi uislamu huwezi kuanza kukashfu mazingira mazima ya uislam, ungeenda kwa wakristo moja kwa moja ili wakupe sababu zaidi ya kuipenda dini yao. shida umehusisha mada yako jf kwenye muktadha wenye dini zote..hupendi shule za kiislam sawa hujalazimishwa kuwapeleka huko, lakini pia uislam haukushikii bunduki ubaki. ndio maana asili ya imani.

Penda dini yako bila kuleta bugdha kwenye dini ya wenzio.
 
Kondoo wangu waisikia sauti yangu; nami nawajua, nao wanifuata. Nami nawapa uzima wa milele; wala hawatapotea kamwe; wala hakuna mtu atakayewapokonya katika mkono wangu.
Yn 10:27‭-‬28 SUV

Yesu akamwambia, Mimi ndimi huo ufufuo, na uzima. Yeye aniaminiye mimi, ajapokufa, atakuwa anaishi;
Yn 11:25 SUV

Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.
Yn 14:6 SUV


Haujakosea, upo mahali sahihi. Mungu azidi kunena na ww uzidi kuujua ukweli.
 
Mashehee kulawitiii hilo naloo limekaaje..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…