google helper
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 9,629
- 13,694
kwanza pole sana, ila hongera kwa kuwa wazi na kuonyesha hitaji la kubadilika. Wenye ushauri mzuri wanakuja, ila ni vyema ukijiweka busy hasa wakati wa zile siku unazokuwa hot sana mwili unapoonyesha matamanio ya kikunio.Wenye kunihukumu poa tu
Kila mwezi nikiwa heat huwa nawashwa kucheki ngono mtandaoni.
Nikishamaliza najuuta mpaka basi
Nikiwaza kugegedwa live naona hapana sio kwamba sitongozwi sema Mimi tu nimeamua sitoi papuchi yangu.
Nifanyeje wakuu niachane na dhambi hii?
Sent using Jamii Forums mobile app