Habari za muda,
Mimi ni kijana wa miaka 23 nimekuwa na uraibu mkubwa sana wa kamari (kubeti). Nilianza kubeti tangu 2015 kipindi nipo Form 2 kipind Primier Bet inaanza wale wa vikaratasi then nilistop kwa muda ila wakati nipo form 5 nikarud na uraibu ulianza.
Japo nilishawahi kushinda nilibetia mpaka pesa ya michango kama Tsh. 90,000/- nikala Tsh. 180,000/- but nilikua sibet sana sababu shuleni unabanwa kutumia simu.
Nilivyofika chuoni ndio uraibu ukazidi baada ya kumiliki smartphone, nikawa mraibu sana wa kubeti nikahamia kwenye virtual bet mpaka Aviator la Sportybet nako nilipoteza tu.
Naombeni ushauri namna gani niweze kuacha kubeti maana najitahidi nashindwa.
Mimi ni kijana wa miaka 23 nimekuwa na uraibu mkubwa sana wa kamari (kubeti). Nilianza kubeti tangu 2015 kipindi nipo Form 2 kipind Primier Bet inaanza wale wa vikaratasi then nilistop kwa muda ila wakati nipo form 5 nikarud na uraibu ulianza.
Japo nilishawahi kushinda nilibetia mpaka pesa ya michango kama Tsh. 90,000/- nikala Tsh. 180,000/- but nilikua sibet sana sababu shuleni unabanwa kutumia simu.
Nilivyofika chuoni ndio uraibu ukazidi baada ya kumiliki smartphone, nikawa mraibu sana wa kubeti nikahamia kwenye virtual bet mpaka Aviator la Sportybet nako nilipoteza tu.
Naombeni ushauri namna gani niweze kuacha kubeti maana najitahidi nashindwa.