smartmgabe
Member
- Nov 15, 2013
- 25
- 6
duh? kumbe na nyie matajiri mna mapito makubwa hivyo? nilizani ni sisi tusio na uhakika wa kula ata mlo mmoja kwa siku! ss tunaamini kwa kudra za mungu hata leo itaitwa kesho! mwamini mungu bro utapata mpenyo tu.