Kiongozi
huyu mwanamke kabadirika, hakuwa hivyo, kabadirika kwa maneno na matendo.
mkuu Sangarara kwanza pole sana kwa mtihani huu wa mahusiano,japo ulishatueleza ule mwingine wa afya siku za nyuma,mm aitaki kuangalia tatizo napenda nione unapata suluhishoHizi ni Changamoto za Kijamii, ntawajuza mustakabali wake punde kidogo.
Mimi huwa nasema hawa watu huwa wanachezea shilingi kwenye choo cha MABANZI. Haiwezekani kwa dunia ya sasa maisha yalivyo magumu uchezee pesa bila kufanya maendeleo. Haki ya mungu jaman nimefura hapa haielezeki