Rchesse
Member
- Apr 23, 2019
- 60
- 28
Mama yangu ni mwalimu na anastaafu mwaka huu, na alikuwa anafikiria kununua gari. Kati ya haya lipi unaona linamfaa kwa budget isiyozidi 18M?. Mimi nilikuwa nafikiria haya, unaweza kuongeza unayodhani yanafaa zaidi.
Forester 2007 (najua 08 ndio bora zaidi lakini budget ndio tatizo)
Nissan xtrail.
Forester 2007 (najua 08 ndio bora zaidi lakini budget ndio tatizo)
Nissan xtrail.