Naomba Ushauri: Gari gani linamfaa mstaafu.

Mkuu kwa maelezo yako nafikiri Rav4 (first generation) au Noah Liteace zote ziwe 4WD zitafaa zaidi kwa bi mkubwa kwani kazi za shamba zinafaa, ukizipeleka kijiweni unapata wateja na pia ukitaka kuuza hupati taabu....gari hizi mbili engine zake zinafanana na kuingiliana .. 3S-FE SR40 au 50 na mara nyingi ukubwa wa CC ni 2000 (1998)

Asante kwa Ushauri, Nitawasilisha.
 
Noah road tourer itamfaa,ni noah bora kuliko zote,ngum na haiharibik,ni zile noah za kwanza kwanza,asinunue noah tofaut na hyo ,nyingne ni mbovu...ni chache hata yard huwez ikuta inabid utafte sana sabab zinagombewa,bei ni 13-15mil..,..1790cc

Itamfaa sabab haitamfilisi,atabeba nyumba nzima had mbuz akitaka,sabab ni kubwa
Asante kwa ushauri mkuu.
 
Mama yangu ni mwalimu na anastaafu mwaka huu, na alikuwa anafikiria kununua gari. Kati ya haya lipi unaona linamfaa kwa budget isiyozidi 18M?. Mimi nilikuwa nafikiria haya, unaweza kuongeza unayodhani yanafaa zaidi.

Forester 2007 (najua 08 ndio bora zaidi lakini budget ndio tatizo)

Nissan xtrail.
Huyu alitakiwa kupata Spacio
 
YANI HAPO MWALIM GAR YA 18M NA SIO YA BIASHARA? WASTAAFU BWANA.
KAMA YA KUTEMBELEA TU
MTAFUTIE TOYOTA SPACIO XG EDITION, 1NZ ENGINE NDIO ITAMFAA MAFUTA NA SPEA BEI RAHISI. BUDGET KAMA MILION 11 AKIENDA YARD.

KAMA ATAAMUA KUFUGA KUKU NA SHUGHULI ZINGINE ATAFUTE PICKUP KIRIKUU
HAYA MAGARI YA STAREHE HAYAONGEZ KIPATO LABDA IWE UBAR.
 
Yupo mji mdogo, matumizi yake ni kwenda sokoni, kanisani n.k labda ikitokea na safari ndefu ya kwenda kwao na familia kilometers kama 700 hivi.
Kama ni hivi mkuu basi old model rav 4 inatosha usihadaike tena
 
Bi Mkubwa anataka gari akiwa ni mstaafu je ataishi mjini au shamba? je atakuwa anasafiri nayo mbali au atapigia misele town? je baada ya kustaafu atategemea pensheni tu au atakuwa na njia zingine za kuongeza kipato? je ana familia ya ukubwa gani? lakini kwa mie vyovyote iwavyo "TOYOTA" inabaki kuwa bora number moja hasa Rav4, Noah Liteace (sio Voxy kimeo), Raum, Starlet, IST, Allex, Fielder, Runx na zinginezo zote familia ya Corolla kwani hatajutia matumizi ya mafuta, upatikanaji wa spare, Bei rahisi kwa vipuri na hata mafundi wa gari hizo ni wengi hivyo hawezi kukwama porini
Hii ndyo JF,watu wanakushauri vzr sana hadi raha!
 
Noah road tourer itamfaa,ni noah bora kuliko zote,ngum na haiharibik,ni zile noah za kwanza kwanza,asinunue noah tofaut na hyo ,nyingne ni mbovu...ni chache hata yard huwez ikuta inabid utafte sana sabab zinagombewa,bei ni 13-15mil..,..1790cc

Itamfaa sabab haitamfilisi,atabeba nyumba nzima had mbuz akitaka,sabab ni kubwa
Nimecheka "hadi mbuzi"
 
Mnunulie IST. Hii kwanza kwa mafuta ni iconome. Pili utabakiwa na change. Dukani 12m. Tatu service zake haziumizi kichwa kabisa,ni gharama ndogo. Kama unataka ya juu,basi Rav 4 old model,engine 3s,ni engine ngumu sana hiyo. Nayo sevice zake ni za kawaida,mafuta itakuwa juu kidogo ya IST
 
YANI HAPO MWALIM GAR YA 18M NA SIO YA BIASHARA? WASTAAFU BWANA.
KAMA YA KUTEMBELEA TU
MTAFUTIE TOYOTA SPACIO XG EDITION, 1NZ ENGINE NDIO ITAMFAA MAFUTA NA SPEA BEI RAHISI. BUDGET KAMA MILION 11 AKIENDA YARD.

KAMA ATAAMUA KUFUGA KUKU NA SHUGHULI ZINGINE ATAFUTE PICKUP KIRIKUU
HAYA MAGARI YA STAREHE HAYAONGEZ KIPATO LABDA IWE UBAR.
Aise brother una dharau wewe ...

Ina maana mwalimu hana hadhi ya kuendesha gari la 18 M....

Miaka yote ambayo ameitumikia serikali kama alishasomesha watoto wake wote, ameshajenga nyumba zake, ana miradi yake, akinunua gari hata m 30 tatizo liko wapi..?
 
Samahani, mstaafu wetu amewekeza miradi isiyotegemea nguvu/uwepo waake kumpatia kipato cha kutosha kujikimu kwa Muda wote atakaokaa bila kufanya kazi?
 
Noah road tourer itamfaa,ni noah bora kuliko zote,ngum na haiharibik,ni zile noah za kwanza kwanza,asinunue noah tofaut na hyo ,nyingne ni mbovu...ni chache hata yard huwez ikuta inabid utafte sana sabab zinagombewa,bei ni 13-15mil..,..1790cc

Itamfaa sabab haitamfilisi,atabeba nyumba nzima had mbuz akitaka,sabab ni kubwa
Naunga mkono hoja.
 
YANI HAPO MWALIM GAR YA 18M NA SIO YA BIASHARA? WASTAAFU BWANA.
KAMA YA KUTEMBELEA TU
MTAFUTIE TOYOTA SPACIO XG EDITION, 1NZ ENGINE NDIO ITAMFAA MAFUTA NA SPEA BEI RAHISI. BUDGET KAMA MILION 11 AKIENDA YARD.

KAMA ATAAMUA KUFUGA KUKU NA SHUGHULI ZINGINE ATAFUTE PICKUP KIRIKUU
HAYA MAGARI YA STAREHE HAYAONGEZ KIPATO LABDA IWE UBAR.


Mkuu haujui maisha yake, unajuaje kama anabiashara nyingine? Au watoto wake wanakipato kiasi gani? Au yeye akistaafu atakuwa anaingiza sh ngapi?, Au unajua pensheni yake ni sh ngap?.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom