Naomba Ushauri: Gari gani linamfaa mstaafu.

Rchesse

Member
Apr 23, 2019
60
28
Mama yangu ni mwalimu na anastaafu mwaka huu, na alikuwa anafikiria kununua gari. Kati ya haya lipi unaona linamfaa kwa budget isiyozidi 18M?. Mimi nilikuwa nafikiria haya, unaweza kuongeza unayodhani yanafaa zaidi.

Forester 2007 (najua 08 ndio bora zaidi lakini budget ndio tatizo)

Nissan xtrail.
 
Mama yangu ni mwalimu na anastaafu mwaka huu, na alikuwa anafikiria kununua gari. Kati ya haya lipi unaona linamfaa kwa budget isiyozidi 18M?. Mimi nilikuwa nafikiria haya, unaweza kuongeza unayodhani yanafaa zaidi.

Forester 2007 (najua 08 ndio bora zaidi lakini budget ndio tatizo)

Nissan xtrail.
Mstaafu gari ya nini? Atafanyaje mazoezi ya kutembea? Au atojoin na gym pia?
 
Hatujajua Mazingira aliyopo ni Town au Bush na Matumizi yake sana sana ila naunga mkono Rav 4

Yupo mji mdogo, matumizi yake ni kwenda sokoni, kanisani n.k labda ikitokea na safari ndefu ya kwenda kwao na familia kilometers kama 700 hivi.
 
Mama yangu ni mwalimu na anastaafu mwaka huu, na alikuwa anafikiria kununua gari. Kati ya haya lipi unaona linamfaa kwa budget isiyozidi 18M?. Mimi nilikuwa nafikiria haya, unaweza kuongeza unayodhani yanafaa zaidi.

Forester 2007 (najua 08 ndio bora zaidi lakini budget ndio tatizo)

Nissan xtrail.

Ili watu wakushauri vizuri, ungeweka wazi matumiza ya gari unalotaka kununua, mfono biashara, matumizi binafsi/kutembelea n.k.
 
Mama yangu ni mwalimu na anastaafu mwaka huu, na alikuwa anafikiria kununua gari. Kati ya haya lipi unaona linamfaa kwa budget isiyozidi 18M?. Mimi nilikuwa nafikiria haya, unaweza kuongeza unayodhani yanafaa zaidi.

Forester 2007 (najua 08 ndio bora zaidi lakini budget ndio tatizo)

Nissan xtrail.
Ungefafanua,hanampango wakilimo trekta inamfaa sana,pengine ingepiga hiyokazi na akaja akanunua gari baadae..(nipotayari kua msimamizi wahiyo treka shamba)..kikubwa mkataba uwe soft
 
Ungefafanua,hanampango wakilimo trekta inamfaa sana,pengine ingepiga hiyokazi na akaja akanunua gari baadae..(nipotayari kua msimamizi wahiyo treka shamba)..kikubwa mkataba uwe soft

Hapana mkuu hana mpango na kilimo atafanya shughuli nyingine.
 
Mama yangu ni mwalimu na anastaafu mwaka huu, na alikuwa anafikiria kununua gari. Kati ya haya lipi unaona linamfaa kwa budget isiyozidi 18M?. Mimi nilikuwa nafikiria haya, unaweza kuongeza unayodhani yanafaa zaidi.

Forester 2007 (najua 08 ndio bora zaidi lakini budget ndio tatizo)

Nissan xtrail.

Bi Mkubwa anataka gari akiwa ni mstaafu je ataishi mjini au shamba? je atakuwa anasafiri nayo mbali au atapigia misele town? je baada ya kustaafu atategemea pensheni tu au atakuwa na njia zingine za kuongeza kipato? je ana familia ya ukubwa gani? lakini kwa mie vyovyote iwavyo "TOYOTA" inabaki kuwa bora number moja hasa Rav4, Noah Liteace (sio Voxy kimeo), Raum, Starlet, IST, Allex, Fielder, Runx na zinginezo zote familia ya Corolla kwani hatajutia matumizi ya mafuta, upatikanaji wa spare, Bei rahisi kwa vipuri na hata mafundi wa gari hizo ni wengi hivyo hawezi kukwama porini
 
Bi Mkubwa anataka gari akiwa ni mstaafu je ataishi mjini au shamba? je atakuwa anasafiri nayo mbali au atapigia misele town? je baada ya kustaafu atategemea pensheni tu au atakuwa na njia zingine za kuongeza kipato? je ana familia ya ukubwa gani? lakini kwa mie vyovyote iwavyo "TOYOTA" inabaki kuwa bora number moja hasa Rav4, Noah Liteace (sio Voxy kimeo), Raum, Starlet, IST, Allex, Fielder, Runx na zinginezo zote familia ya Corolla kwani hatajutia matumizi ya mafuta, upatikanaji wa spare, Bei rahisi kwa vipuri na hata mafundi wa gari hizo ni wengi hivyo hawezi kukwama porini

Itakuwa ya misele town kama kwenda kanisani, sokoni, kwenye vyama n.k. pia safari ndefu za kifamilia. Familia ni ya watu 4 nayeye wa 5 ila muda mwingi wengi hawapo. Atakuwa na njia nyingine za kujiingizia kipato. Rav 4 old model ina Cc ngapi mkuu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom