Naomba Ushauri: Gari gani linamfaa mstaafu.

Naona IST au Rav 4 kama wadau wengine walivyosema. Chenji awekeze kwenye mambo mengine.
 
Hapo kwenye VYAMA.... Mama ni KADA?
Itakuwa ya misele town kama kwenda kanisani, sokoni, kwenye vyama n.k. pia safari ndefu za kifamilia. Familia ni ya watu 4 nayeye wa 5 ila muda mwingi wengi hawapo. Atakuwa na njia nyingine za kujiingizia kipato. Rav 4 old model ina Cc ngapi mkuu.
 
Mama yangu ni mwalimu na anastaafu mwaka huu, na alikuwa anafikiria kununua gari. Kati ya haya lipi unaona linamfaa kwa budget isiyozidi 18M?. Mimi nilikuwa nafikiria haya, unaweza kuongeza unayodhani yanafaa zaidi.

Forester 2007 (najua 08 ndio bora zaidi lakini budget ndio tatizo)

Nissan xtrail.
Haria tako la nyani au nadia..au rava 4 kill time
Nunueni gari ambayo hata imetokea mnasafiri inabeba zaidi ya 4 kuendelea au kama safari labda za kwenda shemu ya heshma mnatumia hiyo hiyo ma yenye uhakika wa safari hata kama barabara inakuwa mbovu
 
Noah road tourer itamfaa,ni noah bora kuliko zote,ngum na haiharibik,ni zile noah za kwanza kwanza,asinunue noah tofaut na hyo ,nyingne ni mbovu...ni chache hata yard huwez ikuta inabid utafte sana sabab zinagombewa,bei ni 13-15mil..,..1790cc

Itamfaa sabab haitamfilisi,atabeba nyumba nzima had mbuz akitaka,sabab ni kubwa
 
Noah road tourer itamfaa,ni noah bora kuliko zote,ngum na haiharibik,ni zile noah za kwanza kwanza,asinunue noah tofaut na hyo ,nyingne ni mbovu...ni chache hata yard huwez ikuta inabid utafte sana sabab zinagombewa,bei ni 13-15mil..,..1790cc

Itamfaa sabab haitamfilisi,atabeba nyumba nzima had mbuz akitaka,sabab ni kubwa
Well said injinia mwenye paso
 
Itakuwa ya misele town kama kwenda kanisani, sokoni, kwenye vyama n.k. pia safari ndefu za kifamilia. Familia ni ya watu 4 nayeye wa 5 ila muda mwingi wengi hawapo. Atakuwa na njia nyingine za kujiingizia kipato. Rav 4 old model ina Cc ngapi mkuu.

Mkuu kwa maelezo yako nafikiri Rav4 (first generation) au Noah Liteace zote ziwe 4WD zitafaa zaidi kwa bi mkubwa kwani kazi za shamba zinafaa, ukizipeleka kijiweni unapata wateja na pia ukitaka kuuza hupati taabu....gari hizi mbili engine zake zinafanana na kuingiliana .. 3S-FE SR40 au 50 na mara nyingi ukubwa wa CC ni 2000 (1998)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom