Gari isiyosumbua ni ile unayonunua kiwandani ya KM 0 haya Used kutoka Japani nayo ni mchezo wa kubahatisha tu. Kama hujawahi miliki gari ukiwa kazini au katika ujana wako usinunue gari baada ya kustaafu haina tofauti na kuoa mke wa pili uzeeni. Hata ukipigwa bao na traffic huna uzoefu wa kujieleza utajikuta unakamuliwa tu 30 kila kukicha. hujakwanguliwa na vichaa barabarani humo, hujakwangua magari ya wenzio bado matatizo yenyewe ya gari nk. Katika uzee usio na uzoefu gari litakupeekea stress sanaKama ameshakamilisha yale mambo ya msingi mfano kusomesha, kujenga nyumba ya familia, kuweka vitega uchumi vya kula uzeen, nadhani ataweza kukabiliana na changamoto za kumiliki gari....
Pia anunue gari ambalo halijatumika kwenye mikono ya watanzania...hapo atakuwa na uhakika wa kuendesha miaka kama 5 bila kupata changamoto kubwa kubwa...yeye atakuwa anabadi oil ya engine na transmission, brake pads, bushes, plugs, matairi na mambo mengine ambayo ni ya kawaida sana kulingana na hali ya barabara zatu.....
Wastaafu wengi wanashikishwa magari mabovu, ndiyo yanaenda kusaidia kuchochea umasikini uzeeni.....kununua gari mkononi mwa mtanzania ni sawa na kucheza kamari...unaweza ukala au ukaliwa...
Nina mtumishi mwenzangu hapa kazini kauziwa IST namba C milioni 6, kwa kweli inamtesa...hiyo milioni 6angeongeza 2, angeweza kupata gari kule beforward ambaloangeendesha miaka 4 bila shida....
Mwenye uzi alishajieleza mstaafu atakuwa na dereva wake....Gari isiyosumbua ni ile unayonunua kiwandani ya KM 0 haya Used kutoka Japani nayo ni mchezo wa kubahatisha tu. Kama hujawahi miliki gari ukiwa kazini au katika ujana wako usinunue gari baada ya kustaafu haina tofauti na kuoa mke wa pili uzeeni. Hata ukipigwa bao na traffic huna uzoefu wa kujieleza utajikuta unakamuliwa tu 30 kila kukicha. hujakwanguliwa na vichaa barabarani humo, hujakwangua magari ya wenzio bado matatizo yenyewe ya gari nk. Katika uzee usio na uzoefu gari litakupeekea stress sana
Hii ndiyo jamii forum.....
Kila mtu ana uhuru wa kutoa mawazo yake....
Na mimi natoa mawazo yangu....
Mstaafu kama ni wa kufa mapema atakufa mapema tu bila kujalisha ana gari au hana....inategemea life style aliyokuwa nayo tangu ujanani....
Ni kweli kuna baadhi ya watu wakiwa na gari wanajizembea, hawatembei tena kwa miguu....na hawafanyi kazi zozote za kuwatoa jasho
Binafsi mstaafu ambaye ni Mwalimu, Mwanajeshi au Polisi....hawa watu sina wasiwasi nao....huwa hawajiweki kizembe hata wakiwa na magari 10....miili yao ilishazoea kutembea sana, kusimama sana na kufanya kazi nyingine za mikono...
Mstaafu akiwa na kazi zake za kawaida za mikono za kika siku zinazomtoa kajasho kidogo, ni zoezi tosha....
Sioni tatizo akiwa na usafiri wa kwenda sokoniz kanisani, harusini siku amealikwa au safari nyingine binafsi......
Binafsi bado naunga mkono wazo la mstaafu kuwa na usafiri...cha msingi aendelee kufanya kazi zake za mikono mfano kufua, kudeki, kuosha vyombo, kuhudumia bustani zake za mboga mboga na matunda....hizo movements ni zoezi tosha...
Pia apunguze matumizi ya nyama nyekundu, na azidishe mboga mboga na matunda, apende ibada...
Hapo mstaafu atafurahia maisha..
Ukiwa na mawazo haya hata ukiwa kijana hutoweza kununua gari.Gari isiyosumbua ni ile unayonunua kiwandani ya KM 0 haya Used kutoka Japani nayo ni mchezo wa kubahatisha tu. Kama hujawahi miliki gari ukiwa kazini au katika ujana wako usinunue gari baada ya kustaafu haina tofauti na kuoa mke wa pili uzeeni. Hata ukipigwa bao na traffic huna uzoefu wa kujieleza utajikuta unakamuliwa tu 30 kila kukicha. hujakwanguliwa na vichaa barabarani humo, hujakwangua magari ya wenzio bado matatizo yenyewe ya gari nk. Katika uzee usio na uzoefu gari litakupeekea stress sana
Naona uelewa wako mgumu sana walimu wako walipata taabu sana kukufundisha. Mimi nakazia kuhusu kununua gari ungali kijana ili uweze kukabiliana na changamoto za gari ilihali u kijana mwenye nguvu na akili inayofanya kazi kwa haraka kuliko kuja kununulia uzeeni ambako akili na nguvu zimepungua ndo uanze kukabiliana na changamoto za magari. Wewe unakuja na mawazo yako 0 hapaUkiwa na mawazo haya hata ukiwa kijana hutoweza kununua gari.
Nashukuru kwa dharau zako mkuu!Naona uelewa wako mgumu sana walimu wako walipata taabu sana kukufundisha. Mimi nakazia kuhusu kununua gari ungali kijana ili uweze kukabiliana na changamoto za gari ilihali u kijana mwenye nguvu na akili inayofanya kazi kwa haraka kuliko kuja kununulia uzeeni ambako akili na nguvu zimepungua ndo uanze kukabiliana na changamoto za magari. Wewe unakuja na mawazo yako 0 hapa
Mkuu, mambo!Mstaafu ukimnunulia Subaru Forester ya 2008 hio lazima apate presha...ila kuna watu wana maisha magumu gari anakuja nunua akistaafu daah hatari sana...
Eeeh safi kabisa..mzima?Mkuu, mambo!
Mi mzimaa, how's your Sunday!Eeeh safi kabisa..mzima?
My sunday is all glooming..hoping for the best..Wewe je?Mi mzimaa, how's your Sunday!
Nice to hear that.. Mine is good too,uwe na siku njemaaMy sunday is all glooming..hoping for the best..Wewe je?
Owkei..uwe na siku njema nawe pia..btw nililiona lile povu lako..hahaha..Nice to hear that.. Mine is good too,uwe na siku njemaa