Hazchem plate
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 11,053
- 15,515
Hivi hawa jamaa salary scale zao zipoje
Hizo zingine vp mkuu, Engineers Tabora na HQUpande wa uhasibu siwezi jua, huwa nafuatilia sana upande wa umeme
Fighisu fighisuHQ vipi mbona wapo Kimya sana, TANESCO update please.
Stores mtwara interview ilikua tarehe 14. The rest sijui.Guys vipi kuhusu watu wa stores
Dodoma, geita, mtwara, shinyanga na kigoma.
Kama kuna updates tupeane
Mimi nili apply, naona kimya tu!. Nadhani bado hawajaitakama kuna aliye apply za tegeta ,kinyerezi na mtwara gas plant upande wa umeme na mechanical.. tujuzane kama wameita watu.
tegeta na mtwara deadline ilikua trhe 8 june wakati y kinyerezi ni trh 13 june.
Kama ulikua unasoma matangazo vizuri walikataza kuwapigia simu ukifanya ivyo unakua umeishajitoa mwenyeweKwenye website yao kuna namba za simu za mkononi za management nzima ya tanesco unaweza kuchukua namba zao hasa PR na Human resources, au ukapiga simu uliko tuma maombi.
Walikataa simu za kushawishi ili upate ajira sio ya kupata taarifa.Kama ulikua unasoma matangazo vizuri walikataza kuwapigia simu ukifanya ivyo unakua umeishajitoa mwenyewe