Naomba undugu

mmh wajameni humu ndani kuna watu wana waume zao, wake zao, watoto, wakwe, mawifi, mashemeji, kaka zao, dada zao, wapenzi, majirani, mama, baba, bibi, babu n.k.....

mie tu ndo sina ndugu au nimetokea sayari nyingine mweeeh

samahani aisee nimetokea kuchukia jina lako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…