Naomba ukaribisho

mimi case yangu ni ya tofauti.
sikuji register kama wewe kwa Id mpya.

swali la kizushi
kwanini umefungua Id mpya, hauoni kwamba upo uwezekano wa kuchanganya mafaili ya Id yako mpya na Id yako ya zamani.

imi
Uliji register kwa I’d ipi kama haikua mpya.

Unauhakika gani kama hii ni I’d ya pili unaweza kuthibitisha. Acha ujuaji hii ni platform inayo fuatiliwa na watu wengi na hauwezi kumpangia mtu muda na wakati wa kuji register ili awe na uwezo wa kupost au ku reply kwenye mada
 
Mmh ngoja nijionee mie Ugomvi wa wanawake sio wa kuingilia.

Nawaombeni myamalize msije kuharibiana reputation
 
Unatakiwa kuelewa kuwa wewe ni "Member" wakati mimi ni "JF-Expert member." huoni hiyo tofauti ?

halafu nakupa elimu ya bure, ukiona Id yeyote yenye JF-expert member au platinum member ujue huyo ni mwekezaji, sio mwanachama wa kawaida.
 
Unatakiwa kuelewa kuwa wewe ni "Member" wakati mimi ni "JF-Expert member." huoni hiyo tofauti ?

halafu nakupa elimu ya bure, ukiona Id yeyote yenye JF-expert member au platinum member ujue huyo ni mwekezaji, sio mwanachama wa kawaida.
Sidhani kama hiyo Elimu yako umuhimu kwa sasa
 
hilo pambano lifanyike offline kama itawapendeza.
 
Ooh kumbe hii ni vita ya muda?
Mimi nikahisi ilianzia kwenye uzi wake?
Halaf wengine hata hatujali kamlenga nani tunaangalia nini anamaanisha, so hata usiingie mtegoni mwanike.

Mtaishia kuwa kituko bora cha mwaka
 
Eeeeeeeeeeeeeh na hivi tena
 
Mimi usiniweke kwenye mjadala wenu mkuu maadui nilionao wananitosha kwa sasa! Kununiwa na watu nisiowajua bado sijamaliza kushangaa!
point taken. Sasa mtu anakununia na hakujui kwanza kwa lipi. Hao achana nao furahia jf kwa raha zako na wasikupimie hewa. Kwani wao ndo wanakununulia bundle. Wafie mbele wakuache afu jifunze kutokasirika na mambo ya mtandaoni.
 
Mbona tulikuwa sawa tena nani kaleta mvurugano wote huo jamani yaan uzi hauwezi ukaisha fresh bila kuvurugana mashetani nyie. Chokochoko tu ndio mnazo mnafikiri jf ni ya mama zenu **** nyie mnafirwa matako wote msiojiheshimu jf.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…