JIBU 22
New Member
- Sep 24, 2023
- 3
- 5
Nisaidieni jamani,
Nimetumiwa mzigo kutoka Londoni na kampuni la NAPAREX COURIER COMPANY. Aliyenitumia mzigo amesema amekosa kampuni ya kusafirisha mpaka Tanzania.
Hiyo kampuni inaleta mzigo East Africa.Je mzigo ukifika nafikishiwa nilipo au na ufata nisaidieni jamani sijaelewa
Nimetumiwa mzigo kutoka Londoni na kampuni la NAPAREX COURIER COMPANY. Aliyenitumia mzigo amesema amekosa kampuni ya kusafirisha mpaka Tanzania.
Hiyo kampuni inaleta mzigo East Africa.Je mzigo ukifika nafikishiwa nilipo au na ufata nisaidieni jamani sijaelewa