Naomba Ufafanuzi: Kampuni ya Puma Energies imetoa msaada kwa wananchi wa Hang lakini wananchi wanamshukuru 'mama'

Restless Hustler

JF-Expert Member
Apr 9, 2017
4,742
17,983
Kampuni ya Puma energies imetoa msaada wa vifaa vya ujenzi yenye thamani ya TSH 70 milioni kwa wananchi wa Hang waliokumbwa na janga la maporomoko ya udongo.

Sijaelewa Logic ya hii dhana ya wananchi wa Hang kumshukuru 'mama' wakati waliotoa msaada ni Puma energies. Mama amehusikaje hapo?

Naomba ufafanuzi.
 
Kampuni ya Puma energies imetoa msaada wa vifaa vya ujenzi yenye thamani ya TSH 70 milioni kwa wananchi wa Hang waliokumbwa na janga la maporomoko ya udongo.

Sijaelewa Logic ya hii dhana ya wananchi wa Hang kumshukuru 'mama' wakati waliotoa msaada ni Puma energies. Mama amehusikaje hapo?

Naomba ufafanuzi.
Mama is popular than anything,aliwaambia wadau Wachangie kuunga mkono Serikali.

Inakuuma mama akishukuriwa au?
 
Kampuni ya Puma energies imetoa msaada wa vifaa vya ujenzi yenye thamani ya TSH 70 milioni kwa wananchi wa Hang waliokumbwa na janga la maporomoko ya udongo.

Sijaelewa Logic ya hii dhana ya wananchi wa Hang kumshukuru 'mama' wakati waliotoa msaada ni Puma energies. Mama amehusikaje hapo?

Naomba ufafanuzi.
Mkuu usichoelewa ni kwamba hao wananvhi waliandaliwa script hivyo wananata na beat.

Tanzania ni nchi ambayo mbinu za kusalia madarakani ni muhimu zaidi ya ulinzi, usalama, uchumi hata ustawi wa wananchi
 
Kampuni ya Puma energies imetoa msaada wa vifaa vya ujenzi yenye thamani ya TSH 70 milioni kwa wananchi wa Hang waliokumbwa na janga la maporomoko ya udongo.

Sijaelewa Logic ya hii dhana ya wananchi wa Hang kumshukuru 'mama' wakati waliotoa msaada ni Puma energies. Mama amehusikaje hapo?

Naomba ufafanuzi.
Kwani Puma si Kampuni ya Serikali? Ina ubia sijui 49/50 ama 51 nimesahau, kunahitajika ruhusa ya Serikali kutoa hizo Hela.
 
Kwani Puma si Kampuni ya Serikali? Ina ubia sijui 49/50 ama 51 nimesahau, kunahitajika ruhusa ya Serikali kutoa hizo Hela.
Sijui kama ni ya serikali. Ok, let's assume ni ya serikali. Ndiyo wananchi wamshikuru mama? Kwani mama ndiye kazitoa fedha mfukoni mwake?
 
Back
Top Bottom