Duh!Ni Dalili za kifafa
Asante kwa ushauriKwa elimu ndogo niliyonayo ni kwamba, chapati ina kiwango kikubwa cha mafuta na wanga, ambapo vyakula hivyo ni adui mkubwa kwa watu wenye tatizo la shinikizo la juu la damu. Huenda unanyemelewa na magonjwa ya moyo, nenda kwenye kituo chochote cha afya kilichopo karibu nawe kwa msaada zaidi.
😂😂mtie moyo mgonjwaChapati tu hivyo mapenzi je utayaweza kweli..? Especially ukikutana na vidada vile vifupi ukikipenda kuzimia kwako itakuwa ni ratiba ya maisha!
Anyway mkuu wahi hospital.
Awahi tu hospital😂😂mtie moyo mgonjwa