TCRA mmeamua kuuza utu wetu kwa wahuni? {APP za mikopo mtandaoni.}

Hypersonic

JF-Expert Member
Apr 14, 2012
612
1,130
Ndugu wanajamvi, Asalaam Aleikhum.
Kama kichwa cha habari kilivo hapo juu nimejikuta na kuwa mhanga wa hawa matepeli wa APP za mitandaoni. Iko hivi kuna mtu ambaye ninafahamiana naye ama ni mtu wangu wa karibu ktk familia, kwa utashi wake binfasi alikopa kwa hawa jamaa, alikopa lini na kiasi gani sijui. Kilichotokea ni kupokea sms kutoka namba 0699 065 *** ikinijulisha kuwa kuna mtu alikopa hela na kuniweka mimi mdhamini. Na kwakuwa nilishapata taarifa za hawa watu nikawajibu kistaraabu tu kuwa huyo mtu mnayemsema simjui hivo mtafuteni wenyewe.

Baada ya siku moja akaibuka tena mtu mwingine mwenye namba 0622 297*** huyu yeye tofauti na yule awali alipiga simu hoja zikawa zile zile kuwa nimemdhamini mtu mkopo na amewatapeli hivo nami nimhusika wa huo utapeli. Nikamwuliza unajua sifa za mtu kuitwa mdhamini? Na je kabla ya kukubali kwamba mimi ni mdhamini mlipata consent yangu? kuna mahali nilisaini? Baada ya hapo kilichofuata ni matusi ya nguoni. nilichofanya na kwa kuwa nilitarajia atatukana hivo nilirekodi kila kitu. Baada ya hapo nikaenda kweny App husika iliyotajwa kwa jina la Ustawi Loan, nikapitia privacy Policy nikagundua uhuni mwingi sana kwenye hizi App, uhuni mmoja nikuingilia mawasiliano ya watu, hizi App zinachukuwa taarifa za mkopaji kwa maana ya sms na ku access camera.

Swali ni moja tu kwa nini TCRA imerhusu huu ujinga, yaani usalama wetuuko wapi kama mhuni mmoja kutoka makumbusho akisimamiwa na wachina ana uwezo wa kuingilia mawasiliano ya faragha ya watu kisa kuna mtu amekopa kwao. Fine mtu amekopa kwa nini third party nihusishwe na huu upuuzi.

Haya leo tena mjinga mmoja katuma sms akitumia namba 0789 713 *** huyu naye kajitambulisha eti anatoka PESA CASH naye hoja zake ni zile zile nimejaribu kumwuliza mhusika ulikopa shilingi ngapi na lini? anasema alikopa shilingi elfu 50 wiki moja iliyopita lakini mpaka jumatatu iliyopita alikuwa anadaiwa 130K haya kuhusu hii App ya pili yeye anasema hajakopa chochote kwao lakini wao wanasema wanamdai 168K kwa uchunguzi wangu mfupi nimegundua hizi APP zaidi ya 30 ziko chini ya mwamvuli mmoja.
Ikiwa wako kisheria mimi sina shida nao, shida yangu ni kwa nini TCRA wameruhusu wahuni kuchezea Privacy zetu? Na hawa walivowajinga wanatumia namba walizosajili wao binafsi. Kwa takribani wiki nzima natafuta mawasiliano na TCRA lakini kila nikipiga simu naishia kusikilizishwa mziki tu.

Najipanga kuwashitaki mimi huwa sina issue ndogo very soon mtanisikia nikiwa nao mahakamani. Katika hili wala sihitaji mwanasheria nasimima nao mwenyewe.

 
Ndugu wanajamvi, Asalaam Aleikhum.
Kama kichwa cha habari kilivo hapo juu nimejikuta na kuwa mhanga wa hawa matepeli wa APP za mitandaoni. Iko hivi kuna mtu ambaye ninafahamiana naye ama ni mtu wangu wa karibu ktk familia, kwa utashi wake binfasi alikopa kwa hawa jamaa, alikopa lini na kiasi gani sijui. Kilichotokea ni kupokea sms kutoka namba 0699 065 342 ikinijulisha kuwa kuna mtu alikopa hela na kuniweka mimi mdhamini. Na kwakuwa nilishapata taarifa za hawa watu nikawajibu kistaraabu tu kuwa huyo mtu mnayemsema simjui hivo mtafuteni wenyewe.

Baada ya siku moja akaibuka tena mtu mwingine mwenye namba 0622 297127 huyu yeye tofauti na yule awali alipiga simu hoja zikawa zile zile kuwa nimemdhamini mtu mkopo na amewatapeli hivo nami nimhusika wa huo utapeli. Nikamwuliza unajua sifa za mtu kuitwa mdhamini? Na je kabla ya kukubali kwamba mimi ni mdhamini mlipata consent yangu? kuna mahali nilisaini? Baada ya hapo kilichofuata ni matusi ya nguoni. nilichofanya na kwa kuwa nilitarajia atatukana hivo nilirekodi kila kitu. Baada ya hapo nikaenda kweny App husika iliyotajwa kwa jina la Ustawi Loan, nikapitia privacy Policy nikagundua uhuni mwingi sana kwenye hizi App, uhuni mmoja nikuingilia mawasiliano ya watu, hizi App zinachukuwa taarifa za mkopaji kwa maana ya sms na ku access camera.

Swali ni moja tu kwa nini TCRA imerhusu huu ujinga, yaani usalama wetuuko wapi kama mhuni mmoja kutoka makumbusho akisimamiwa na wachina ana uwezo wa kuingilia mawasiliano ya faragha ya watu kisa kuna mtu amekopa kwao. Fine mtu amekopa kwa nini third party nihusishwe na huu upuuzi.

Haya leo tena mjinga mmoja katuma sms akitumia namba 0789 713 573 huyu naye kajitambulisha eti anatoka PESA CASH naye hoja zake ni zile zile nimejaribu kumwuliza mhusika ulikopa shilingi ngapi na lini? anasema alikopa shilingi elfu 50 wiki moja iliyopita lakini mpaka jumatatu iliyopita alikuwa anadaiwa 130K haya kuhusu hii App ya pili yeye anasema hajakopa chochote kwao lakini wao wanasema wanamdai 168K kwa uchunguzi wangu mfupi nimegundua hizi APP zaidi ya 30 ziko chini ya mwamvuli mmoja.
Ikiwa wako kisheria mimi sina shida nao, shida yangu ni kwa nini TCRA wameruhusu wahuni kuchezea Privacy zetu? Na hawa walivowajinga wanatumia namba walizosajili wao binafsi. Kwa takribani wiki nzima natafuta mawasiliano na TCRA lakini kila nikipiga simu naishia kusikilizishwa mziki tu.

Najipanga kuwashitaki mimi huwa sina issue ndogo very soon mtanisikia nikiwa nao mahakamani. Katika hili wala sihitaji mwanasheria nasimima nao mwenyewe.
All in all watanzania tupunguze kuendekeza njaa na kukopa mikopo umiza inayotuletea fedheha kwa watu wetu.

Na kama umeamua kukopa basi lipa kwa muliopangiana kuepuka kudhalilishana.

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
All in all watanzania tupunguze kuendekeza njaa na kukopa mikopo umiza inayotuletea fedheha kwa watu wetu.

Na kama umeamua kukopa basi lipa kwa muliopangiana kuepuka kudhalilishana.

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
sidhani kama umesoma na kuelewa nilichoandika, suala mtu kukopa ni utashi binafsi swali langu ikiwa mtu mwingine amekopa kwa mdai aende kwenye simu ya mdaiwa na kuanza kuharass watu wasiohusika? unawezaje kuniita mdhamini kwa vile umeona namba yangu kwenye phone contact za mkopaji? huo ndo msingi wa swali langu.
 
Mh🙄.
FF Kuna mwandishi wa riwaya mojawapo inaitwa JIJI LA KAMALI.
Kiukweli Nchi ishakuwa mfu mkuu.
Hakuna kituo chochote Cha habari Nchi hii iwe Tv ama Redio Cha Serikali ama Binafsi ambacho hakichezeshi KAMALI.

Kiufupi mkuu Nchi ishaoza.

TBC TAIFA inachezesha KAMALI je wengine🦅.
Mkuu madudu mengi,sijui tunaenda wapi.

TCRA unadhani hawajui.
 
Mh🙄.
FF Kuna mwandishi wa riwaya mojawapo inaitwa JIJI LA KAMALI.
Kiukweli Nchi ishakuwa mfu mkuu.
Hakuna kituo chochote Cha habari Nchi hii iwe Tv ama Redio Cha Serikali ama Binafsi ambacho hakichezeshi KAMALI.

Kiufupi mkuu Nchi ishaoza.

TBC TAIFA inachezesha KAMALI je wengine🦅.
Mkuu madudu mengi,sijui tunaenda wapi.

TCRA unadhani hawajui.
Issue yangu si kamali na wala sina shida nao kabisa. Shida yangu kwa nini TCRA wameruhusu hawa watu kuingilia mawasiliano ya watu, aliyekopa ni Emmanuel kwa nini kumsumbua Athumani kwa sababu tu wana access na simu Emmanuel na kwa kuwa Athumani aliwahi kuwasiliana na Emmanuel basi Tayari Athumani anaitwa mdhamini??? How?
 
Hapo waandikie kwanza hao wahusika wa hiyo App hlf wakikujibu ndo unaenda huko kwingineko na hayo majibu ulopewa ndo unakuwa ushahidi wako. Hata wasipojibu huo nao ni ushahidi pia.
 
Ndugu wanajamvi, Asalaam Aleikhum.
Kama kichwa cha habari kilivo hapo juu nimejikuta na kuwa mhanga wa hawa matepeli wa APP za mitandaoni. Iko hivi kuna mtu ambaye ninafahamiana naye ama ni mtu wangu wa karibu ktk familia, kwa utashi wake binfasi alikopa kwa hawa jamaa, alikopa lini na kiasi gani sijui. Kilichotokea ni kupokea sms kutoka namba 0699 065 342 ikinijulisha kuwa kuna mtu alikopa hela na kuniweka mimi mdhamini. Na kwakuwa nilishapata taarifa za hawa watu nikawajibu kistaraabu tu kuwa huyo mtu mnayemsema simjui hivo mtafuteni wenyewe.

Baada ya siku moja akaibuka tena mtu mwingine mwenye namba 0622 297127 huyu yeye tofauti na yule awali alipiga simu hoja zikawa zile zile kuwa nimemdhamini mtu mkopo na amewatapeli hivo nami nimhusika wa huo utapeli. Nikamwuliza unajua sifa za mtu kuitwa mdhamini? Na je kabla ya kukubali kwamba mimi ni mdhamini mlipata consent yangu? kuna mahali nilisaini? Baada ya hapo kilichofuata ni matusi ya nguoni. nilichofanya na kwa kuwa nilitarajia atatukana hivo nilirekodi kila kitu. Baada ya hapo nikaenda kweny App husika iliyotajwa kwa jina la Ustawi Loan, nikapitia privacy Policy nikagundua uhuni mwingi sana kwenye hizi App, uhuni mmoja nikuingilia mawasiliano ya watu, hizi App zinachukuwa taarifa za mkopaji kwa maana ya sms na ku access camera.

Swali ni moja tu kwa nini TCRA imerhusu huu ujinga, yaani usalama wetuuko wapi kama mhuni mmoja kutoka makumbusho akisimamiwa na wachina ana uwezo wa kuingilia mawasiliano ya faragha ya watu kisa kuna mtu amekopa kwao. Fine mtu amekopa kwa nini third party nihusishwe na huu upuuzi.

Haya leo tena mjinga mmoja katuma sms akitumia namba 0789 713 573 huyu naye kajitambulisha eti anatoka PESA CASH naye hoja zake ni zile zile nimejaribu kumwuliza mhusika ulikopa shilingi ngapi na lini? anasema alikopa shilingi elfu 50 wiki moja iliyopita lakini mpaka jumatatu iliyopita alikuwa anadaiwa 130K haya kuhusu hii App ya pili yeye anasema hajakopa chochote kwao lakini wao wanasema wanamdai 168K kwa uchunguzi wangu mfupi nimegundua hizi APP zaidi ya 30 ziko chini ya mwamvuli mmoja.
Ikiwa wako kisheria mimi sina shida nao, shida yangu ni kwa nini TCRA wameruhusu wahuni kuchezea Privacy zetu? Na hawa walivowajinga wanatumia namba walizosajili wao binafsi. Kwa takribani wiki nzima natafuta mawasiliano na TCRA lakini kila nikipiga simu naishia kusikilizishwa mziki tu.

Najipanga kuwashitaki mimi huwa sina issue ndogo very soon mtanisikia nikiwa nao mahakamani. Katika hili wala sihitaji mwanasheria nasimima nao mwenyewe.
Nashukuru kwa taarifa. Umesema unataka kuwashtaki, hapo sijajua, unawashtaki TCRA au hawa matapeli?
 
Tatizo mambo mengi Mageni yanapoanzishwa HAYAPEWI MPANGILIO wowote mpaka yanakomaa na kuweka mizizi MALALAMIKO yanakuwa mengi ndipo utaona wahusika wasimamizi WANAIBUKA na masheria kibao wakati tayari Mwananchi ameisha UMIA.

PUMZIKA kwa amani baba wa Taifa hili , ULITAMKA " unapotembea popote ww huwa unabeba vitabu viwili BIBLIA TAKATIFU na kitabu cha AZIMIO LA ARUSHA " umesisitiza kila unapokisoma kitabu cha AZIMIO LA ARUSHA huoni tatizo lolote katka kitabu hicho "

Nami nachukua eneo dogo tu kwenye hicho kitabu ambalo naliona ndiyo SUMU kali inayotutafuna.

Miiko ya uongozi.

" kiongozi wa umma asiwe na hisa katika Makampuni"
 
Mleta mada naomba ufafanuzi umewezaje kurekodi mazungumzo baada ya kuwa umepigiwa simu na hao jamaa? Maana siku hizi TCRA imewaelekeza watu wa mitandao ku-disable functionality ya kurekodi mazungumzo kupitia simu inayotumika kwenye mazungumzo husika.
Nimetumia simu mbili kwa maana ya loud speaker.Simu ya kuongelea niliweka loud na nikarelodi na simu ya pili. Asante
 
Screenshot_20240224_191340_Messages.jpg
 
Nashukuru kwa taarifa. Umesema unataka kuwashtaki, hapo sijajua, unawashtaki TCRA au hawa matapeli?
Washitakiwa hapa inabidi awe mtu niliyewasiliana naye make mimi.sijui ni nani aliyemtuma, madam namba zinazotumika ni namba binafsi mimi nataka kwanza mpiga simu apatikane akishapatikana yeye ndo atataja kampuni inayomtuma.
Mshitakiwa namba moja ni mpiga simu na mshitakiwa namba mbili ni app aliyataja kuiwakilisha
Unaonekana una kaujuaji flani, bila mwanasheria hutoboi
Usikariri mambo kwani kuandaa mashitaka lazima uwe mwanasheria? Na uanasheria kwako ni nini? Wafungwa huko magerezani wanajiandikia rufaa na wanashinda itakuwa huyu mpuuzi mmoja aliyeingilia mawasiliano yangu na kuniharass pasipo kuwa na makubaliano na mimi, Kwa nini anitambulishe mimi kama mdhamini wa mtu ambaye wameingia naye makubaliano bila mimi kuwepo? Unatambua vigezo vya kuitwa mdhamini?kama unavijua basi mimi namba yangu kuwa kwenye simu ya fulani haimpi mamlaka ya yeye kunitukana na kunitumia sms za matusi na vitisho kila mara
 
Nashukuru kwa taarifa. Umesema unataka kuwashtaki, hapo sijajua, unawashtaki TCRA au hawa matapeli?
Washitakiwa hapa inabidi awe mtu niliyewasiliana naye make mimi.sijui ni nani aliyemtuma, madam namba zinazotumika ni namba binafsi mimi nataka kwanza mpiga simu apatikane akishapatikana yeye ndo atataja kampuni inayomtuma.
Mshitakiwa namba moja ni mpiga simu na mshitakiwa namba mbili ni app aliyataja kuiwakilisha
Unaonekana una kaujuaji flani, bila mwanasheria hutoboi
Nakama wewe ni miongoni mwa hizo namba nilizoorodhesha hapo juu jiandae, hili ni suala la muda tu hawa wanamakosa mengi tu kwanza wanatumia pia VPN bila kujisajili kutumia hizo access naamini hiv. Make baada ya kuwaandikia sms za kusudio la kuwashitaki sasa hivi wanapiga ama kutuma sms kupitia namba za Zimbabwe na Afrika kusini, mwanasheria nitaenda nitakapo taka kuishitaki TRA kwa sababu hapa kuna taratibu zake
 
Washitakiwa hapa inabidi awe mtu niliyewasiliana naye make mimi.sijui ni nani aliyemtuma, madam namba zinazotumika ni namba binafsi mimi nataka kwanza mpiga simu apatikane akishapatikana yeye ndo atataja kampuni inayomtuma.
Mshitakiwa namba moja ni mpiga simu na mshitakiwa namba mbili ni app aliyataja kuiwakilisha

Nakama wewe ni miongoni mwa hizo namba nilizoorodhesha hapo juu jiandae, hili ni suala la muda tu hawa wanamakosa mengi tu kwanza wanatumia pia VPN bila kujisajili kutumia hizo access naamini hiv. Make baada ya kuwaandikia sms za kusudio la kuwashitaki sasa hivi wanapiga ama kutuma sms kupitia namba za Zimbabwe na Afrika kusini, mwanasheria nitaenda nitakapo taka kuishitaki TRA kwa sababu hapa kuna taratibu zake
Unadhani hizo msg wewe ndio wa kwanza kupokea? Ama wewe ndio wa kwanza kuanzisha thread ya malalamiko haya humu jf? Nakwambia tena bila mwanasheria hutoboi, tafuta lawyer atengeneze kesi nzuri.
 
Back
Top Bottom