Martin George
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 1,695
- 1,470
Nimejiuliza swali hili baada ya jamaa mmoja hapa jirani kusema anamiliki laini 4 za simu kwa ajili ya kucheza bahati nasibu kila anunuapo vifurushi. Nimecheka sana.........labda serikali inataka kupunguza huu upuuzi. Wewe je una sababu gani za kumiliki laini zaidi ya moja?