TUKANA UONE
JF-Expert Member
- Jan 3, 2018
- 1,816
- 5,151
Nawewe tupe sababu tatu kwanini mitandao ya simu ipo zaidi ya mmoja!!Nimejiuliza swali hili baada ya jamaa mmoja hapa jirani kusema anamiliki laini 4 za simu kwa ajili ya kucheza bahati nasibu kila anunuapo vifurushi. Nimecheka sana.........labda serikali inataka kupunguza huu upuuzi. Wewe je una sababu gani za kumiliki laini zaidi ya moja?