Wafanyakazi wa Tcra nao ni wanajamii wana mahitaji sawa na wengine. Muhimu ni sababu tu za kumiliki!In addition, hata wafanyakazi wa TCRA wana laini zaidi ya moja. Sijui wamekula maharage ya wapi kuja na matamko ya ajabu. Au labda mleta mada amewavutisha lile jani?!?
Mgeni usiogope!Nilijua wapuuzi wataanza kuuliza maswali kama haya endeeleni
Nimekuelewa Tyson!Mie nina mbili.
1. Airtel hii ina umri wa mtu. Since 2001 sijabadilisha.
2. Halotel kwa ajili ya data. Sizijui hata namba zake. Nilikuwa na tigo nikawapumzisha.
Hahhahahaahah... we jamaaDogo kakojoe ukalale kama msabato andaa nguo za kanisan kesho...
Mambo mengine utakuja kuyaelewa vuzi likianza kukomaa...
Sasa kwanini unafikiri Kama mtoto wa chekechea?Mimi babako mdogo ujue!
Jibu swali mkuu!Kakojoe ulale, mambo yakupangiana usiwe na mchepuko yanatoka wapi, mwl jkn Nyerere alisema adui mkubwa wa mtanzania nii, ujinga, maradhi na umasikini, du tutafika tu safari
Usimtukane waziri tafadhali!Sasa kwanini unafikiri Kama mtoto wa chekechea?
Au elimu yako ya mingumbalo.kama ya huyo waziri aliyetoa tamko.
Kumbe jibu unalijua!Kwa sisi wafanya biashara .ni muhimu kuwa na namba zaidi ya moja.
alafu sisi ni watu wazima.
Masuala ya kutupeleka peleka Kama watoto wa shule.ni mambo ya kiboya.
USITUPANGIE CHA KUFANYA.
SIMU ZETU, LAINI ZETU.
WEWE UNAWASHWA NA NINI?
alafu masuala ya kusajili laini YAMETOA AJIRA NYINGI KWA VIJANA.
MNATAKA WAJE WAFANYE KAZI GANI?
Najua mtasema kwa ajili ya usalama.
lakini nyie nyie mliopo kwenye system ndo WAHALIFU WAKUBWA.
mmefanya nini kuwakamata watu waliokuwa wanamtishia Ben kwenye simu mpaka akapotea?