Dr wa Manesi
JF-Expert Member
- Aug 19, 2024
- 5,947
- 4,547
1. Mods, wengine mlifika Hadi inbox kunionya. Mbarikiwe sana.🙏🙏
2. Members wote niliotukana nao, ikiwemo Leo. Mnisamehe 7*70
3. Members walioyashuhudia matusi yangu na kuwakera.
Siijui kesho, Wala wahusika wa kesho......natubu.
Siijui Wala kuikumbuka faida yoyote ya matusi, ujinga tu maana mengi yao yamemrudia tu mama yangu mpendwa😪😪
Sijakamilika; pengine ninayetukanana nae ndo anayeshikia sehemu ya ukamilifu wangu siku zijazo
Wanaofaidika na siasa wanachat kwa vicheko baada ya kutoka kuraruana mahakamani.🤔🤔🤔
Tafadhali nisameheni!!
2. Members wote niliotukana nao, ikiwemo Leo. Mnisamehe 7*70
3. Members walioyashuhudia matusi yangu na kuwakera.
Siijui kesho, Wala wahusika wa kesho......natubu.
Siijui Wala kuikumbuka faida yoyote ya matusi, ujinga tu maana mengi yao yamemrudia tu mama yangu mpendwa😪😪
Sijakamilika; pengine ninayetukanana nae ndo anayeshikia sehemu ya ukamilifu wangu siku zijazo
Wanaofaidika na siasa wanachat kwa vicheko baada ya kutoka kuraruana mahakamani.🤔🤔🤔
Tafadhali nisameheni!!