Naomba niwaage

Mungu akupe afya njema.
Pole sana Ushimen. Mwenyezi Mungu asimamie afya yako mkuu.
Jipe moyo mkuu, utayashinda haya.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu are you serious or just kidding. Kama ni kweli unamaanisha basi sote tunakuombea upone maana ni kweli sasa hivi unalala asubuhi inakuwa surprise Mungu akupe uponyaji Katika Jina la Yesu Kristo, Amina.
Piga nyungu mwanzo mwisho!
Unajuaje kama hana matatizo mengine ya Afya?
Mkuu JITAHIDI Sana, kuikimbia hofu kadri ya uwezo wako, wasiliana na kiongozi wako wa kiimani atakushauri vema, Mungu ni mwema atakuponya bila shaka.
Jitenge ila usisahau vyungu na juice ya limao na tangawizi kwa wiiiingiiiiiiii,hakika utapona mkuu
Pole sana mkuu,
Wakuu, asanteni sana.
Hii kitu ipo na ninawashauri tu kuwa makini na hasa kuchukuwa tahadhari ili kuwalinda wanao tuzunguka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umepona Corona

Tuambie ilikiwaje

Sent using Jamii Forums mobile app
 


Kila sifa njema anastahiki kusifiwa Mwenyezi Mungu, Mola wa walimwengu wote!


Karibu sana Mkuu, Allah azidi kukupa nguvu na afya njema.
 
Mungu apewe sifa kwa uponyaji wake!
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu, asanteni sana.
Hii kitu ipo na ninawashauri tu kuwa makini na hasa kuchukuwa tahadhari ili kuwalinda wanao tuzunguka

Sent using Jamii Forums mobile app
Safi sana tunafurahi kukuona ukirejea tena uwanjani mkuu maana ulitaka kufanya timu ifungwe kutokana na huzuni hasa sisi abiria wako tunaoombaga lift kwenye kale kagari kako kenye korodani nyuma na kama hutojali nitupie picha hapa nifurahi kwenye huu huu uzi aisee.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mungu ni mwema.
 
Umepona Corona

Tuambie ilikiwaje

Sent using Jamii Forums mobile app
1. Nilijifukiza nyungu kwa kutumia muarobaini mixer na mshana mixer na mkaratusi × 3 kwa siku
2. Nili kunywa juice ya tangawizi mixer na limao mixer na kitunguu swaumu × 3 kwa siku.
Kuna dawa nilitumiwa na nilikunywa vijiko 2 vya chai kila baada ya masaa 3.
Sasa nimekuwa mzima, sina mafua, sina maumivu, sina kikohozi, sina maumuvu ya kichwa, sina mamumivu ya mwili, asante Mungu nimerudi barabarani kama kawaida

Hapo chini nimeambatanisha dawa niliyo tumiwa na nilipo ipokea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mungu ni mkuu,karibu tena kamanda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…