Naomba niwaage

Mnyaa naujua vizuri sana, ule utomvu wake unavutia ukiuona,,ila cjasikia mtu akila mnyaa,,ndio kwanza nackia mkuu.
Wanakula sana.

Ukiubanika kwenye jiko la mkaa ule upande yanapoangukia majivu unakauka ule utomvu na kubaki mkavu kiasi sasa ukiutafuna kuna radha fulani kama jojo ila si tamu wala chungu kuna kauchachu flani.

Ila sio mzuri ukiutumia mara nyingi
 
Kama ni corona fanya hivi:

1. Sukutua mdomo na maji yenye vuguvugu+ chumvi

2. Katakata limao na maganda yake na tangawizi then chemsha unywe.

3. Jifukize na uweke tone moja la eucalyptus B. P oil "silver birds"

4. Fanya mazoezi. USIKUBALI KULALA KABISA.

MUNGU mwema akuondolee hofu, akupe Amani yake na akurejeshee afya yako upese.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
So waona tunabatisha acha mazalau yako yani acha mazalau yako
 

May our Lord God Almighty of Israel watch over you.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…