Akili Unazo!
JF-Expert Member
- Feb 18, 2009
- 3,930
- 4,934
Ahsante.
Ushimen ni mtu muhimu sana kwangu sana muhimu.
He wii be ok.
@Ushmen tajiri wa kile kigari chrnye korodani nimekuona online muda flani mkuu hebu uwe unakuja kuwapa updates ndugu zako wanaohangaika kutaka kujua hali yako bhana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante sana kiongozi tunapitia kipindi kigumu Ila Mungu ataweka mkono na mambo yatakua sawaPole sana mkuu, nimetokewa na hali kama hizo kuanzia juzi, hakika tutapita salama.
Kwako Ushimen usikate tamaa namna hii, ni mbaya fight bila kuchoka, jifukize, na kutumia viungo tulivyoelekezwa. Inasaidia sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kama inawezekana weka picha ya huo mlonge na namna ya kuutumia. Utaokoa wengi.Yaani huu ugonjwa unatia hofu sana,ya taka moyo ,kikubwa tunapaswa kujiandaa huku tukichukua tahadhari za kila aina na kumuomba Mungu atusaidie
Kabla ya ujio wa ARVs watu walikuwa wanatumia sana mlonge ili kupandisha kinga za miwili zao katika kuweza kupambambana na virusi vya Ukimwi,hebu tuendelelee kutumia huu mlonge wapendwa no matter una khali gani
Unapokuwa vitani na adui anaonekana kukutisha sana wewe tumia siraha yoyote ilimradi umshinde
Pole sana ndugu @ushmen,Amini utapona
Sent using Jamii Forums mobile app
Your signature, reminds Me of hawaai 5-0Nilitaka kukuuliza huko Unguja umeshatoka? Nimeangalia video ya mazishi mfanyakazi wa azam marine nikakukumbuka sana.
Stay safe.
Moyo wangu umeumia sana na kupata uchungu mno kuangalia hizo video.
Naam, nimefanikiwa kuwasiliana, Mungu ni mkuu atamwinua tenaTumpe mda.
Atakuwa sawa tu.
Corona kiboko hadi madevil mnamuogopa..!!duh.apa nimesha jiweka zangu lock down nme nunua vitu vyote vya muhimu .wala sitaki watu kuja kuja kwangu
Yaani huu ugonjwa unatia hofu sana,ya taka moyo ,kikubwa tunapaswa kujiandaa huku tukichukua tahadhari za kila aina na kumuomba Mungu atusaidie
Kabla ya ujio wa ARVs watu walikuwa wanatumia sana mlonge ili kupandisha kinga za miwili zao katika kuweza kupambambana na virusi vya Ukimwi,hebu tuendelelee kutumia huu mlonge wapendwa no matter una khali gani
Unapokuwa vitani na adui anaonekana kukutisha sana wewe tumia siraha yoyote ilimradi umshinde
Pole sana ndugu @ushmen,Amini utapona
Sent using Jamii Forums mobile app
Embu pita kwa Mange kidogoWakati wa self isolation nimezurura sana JF, nafikiri imekua sehem ya kunipunguzia mawazo na kunipa burudani.
Ushimen endapo tatizo ni huu ugonjwa kukata tamaa ni kosa kubwa sana mkuu. Kwanza sio kila anaeupata anaondoka, kuna kundi la watu wengi tu wanapona tena wengine bila hata msaada wa hospital, hatari ipo lakini sio kubwa kiasi hichi mkuu.
Embu pita kwa Mange kidogo
Huna mume karibu AKUTIE moyo.Mda kama huu nakuwa nimelala.
Huwa nalala mapema sana haizidi saa 3 lakini leo hofu imenitanda mno.
Kunani jamani!?Embu pita kwa Mange kidogo
Huna mume karibu AKUTIE moyo.
Jitahidini kutafuna tangawizi mda wotee.na malimao msisahau kunywa.
Mungu atatuepusha.
Hii ni vita inahitaji tupambane kwa kutumia Silaha ya aina yeyote ile...tatizo kubwa la huu ugonjwa uambukizaji wake ni rahisi sana...na hiyo lockdown ndio ngumu zaidiMkuu kama inawezekana weka picha ya huo mlonge na namna ya kuutumia. Utaokoa wengi.
Kama uko dar nenda posta mpya...karibu na ofisi za bima...wanauza unga wa mlonge na chia seeds...nilisumbuliwa na homa..na mafua...nikanunua hizo...nikachanganya na tangawizi na limao...kidogo hali imetulia...maendeleo hayana chama...tupambaneni.Mkuu kama inawezekana weka picha ya huo mlonge na namna ya kuutumia. Utaokoa wengi.
Mnyaa utakuja kumsababishia vidonda kooni japo ni mzuri kwa sababu unawasha.Yeah ndio huo huo. Unaubabua ili kuondoa utomvu..
Tumeutumia sana kijijini kwetu