Chinedu5
JF-Expert Member
- Apr 20, 2015
- 759
- 2,695
unamenya hizo punje,unaweza ukatafuna ukiweza ila pia unaeza ujavichopchop afu ukaacha ata dk 5 hiv na umeze kama dawa, kama utamezea mtindi ni vizuri zaidi ila kama huwezi kuupata,maji unywe mengiFafanua hapa usaidie wengi. Punje za vitunguu swaumu anatafuna au Anameza hivyo hivyo? Sababu kutafuna vina harufu Sana si atamkera mpenzi wake?