Naomba mtu mwenye ramani ya nyumba ya kisasa vyumba 4

Mpe ramani acha shobokea wanaume
Ukitaka ramani zipo nyingi sana unaweza kugoogle au ukamtafuta fundi ujenzi akakuelekeza.
Unafikiri kati ya huyu jamaa na mtoa uzi nani anawashobokea wanaume?
Nyumba ya vyumba 4, unataka mtu akupe ramani bure tu? Amkeni watanzania kwa kupenda vya bure ndiyo maana misaada inakuja mingi sana. Urusi naye katoa nafaka bure.
 
Ukitaka ramani zipo nyingi sana unaweza kugoogle au ukamtafuta fundi ujenzi akakuelekeza.
Unafikiri kati ya huyu jamaa na mtoa uzi nani anawashobokea wanaume?
Nyumba ya vyumba 4, unataka mtu akupe bure tu? Amkeni watanzania kwa kupenda vya bure ndiyo maana misaada inakuja mingi sana. Urusi naye katoa nafaka bure.
Wewe mgumu wa kuelewa sana
 
Wewe mgumu wa kuelewa sana
Ugumu unaotengeneza wewe. Kwa akili yako, unataka kujenga nyumba unakuja kuomba ramani bure JF. Upo serious na ujenzi wako?
Nenda kwa wataalamu wa ujenzi au wachora ramani za nyumba. Ukiwa na 30,000 unachagua raman unazozitaka ww tena za kisasa kabisa.
Mpe ramani
 
Mkuu ninayo niandalie 60000 nikuachie
IMG_20230729_104802_7.jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom