tandabui2021
JF-Expert Member
- Nov 5, 2021
- 3,120
- 5,362
Kama una ramani yenye vipimo tupia ndugu ,na mimi nianze project mdogo mdogo,Hela ya soda haukosi,barikiwa sana
Kama una ramani yenye vipimo tupia ndugu ,na mimi nianze project mdogo mdogo,Hela ya soda haukosi,barikiwa sana
Hizo shobo sasaNyumba ya vyumba vi4 ni almost Mil. 100. kwa hiyo unaproject ya mil. 100 unataka ramani bure?? tafuta wachoraji uwape taarifa za eneo lao wakufanyie design.
kama upo dar ramani zinamwagwa chini huko kko kwa buku 5
Hizo shobo sasa
Mpe ramani acha shobokea wanaume
Ukitaka ramani zipo nyingi sana unaweza kugoogle au ukamtafuta fundi ujenzi akakuelekeza.Mpe ramani acha shobokea wanaume
Wewe mgumu wa kuelewa sanaUkitaka ramani zipo nyingi sana unaweza kugoogle au ukamtafuta fundi ujenzi akakuelekeza.
Unafikiri kati ya huyu jamaa na mtoa uzi nani anawashobokea wanaume?
Nyumba ya vyumba 4, unataka mtu akupe bure tu? Amkeni watanzania kwa kupenda vya bure ndiyo maana misaada inakuja mingi sana. Urusi naye katoa nafaka bure.
Nyumba ya vyumba vinne, unataka nani akupe ramani bure? Utapewa ila miaka miwili mbele utaona nyumba yako haifai na hiyo kwasababu ya kushobokea vya bure.Hizo shobo sasa
Daaahhh, ushauri mwingine bhanaVyumba vinne?
jenga kimoja wewe dunia tunapita.
Samba Mapangala.
Ugumu unaotengeneza wewe. Kwa akili yako, unataka kujenga nyumba unakuja kuomba ramani bure JF. Upo serious na ujenzi wako?Wewe mgumu wa kuelewa sana
Una sh ngapiKama una ramani yenye vipimo tupia ndugu ,na mimi nianze project mdogo mdogo,Hela ya soda haukosi,barikiwa sana
🤗🤗🤗 Hii weka mbali na 'watoto'!Mimi nina ya vyumba vinne ila ni ghorofa sidhani kama itakufaa.