OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,203
- 103,741
Kwa mambo yanayoendelea Zanzibar na Mwanza kuhusu mazishi ya Kamanda Mawazo, nina wadedicate wana CCM na dola yake wimbo haki.
Wimbo huu ulifanywa na Mh.Sugu Mbunge wa Mbeya Mjini (CHADEMA) na Justini Kalikawe.
Mistari ya Chorus yake ni hii...H A K I...Herufi zake chache sana neno HAKI...Haitulazimu kushika bunduki HAKI!!!X3
Wimbo huu ulifanywa na Mh.Sugu Mbunge wa Mbeya Mjini (CHADEMA) na Justini Kalikawe.
Mistari ya Chorus yake ni hii...H A K I...Herufi zake chache sana neno HAKI...Haitulazimu kushika bunduki HAKI!!!X3