hivi kweli tende ndio kitu cha kuomba na kusisitiza kwamba huko hali ni mbaya, hivi watu wanafungia tende au, hii msg au ombi halina maana na linadhalilisha uislamu
Ndugu Kituko, Kufuturu kwa tende (kufungua kinywa kwa tende) baada ya kufunga siku nzima ni katika suna za Mtume wetu Muhammad (SAW).
Last edited: