Pole sana changamoto ya bima ya afya kwa sasa ili upewe rufaa lazima kuwe na sababu ya kitaalamu na sio kwa hitaji la mgonjwa. Nakushauri ongea na daktari anaekuhudumia kuhusu tatizo lako ujue unaumwa nini kabla ya kutaka rufaa.Mimi nimelazwa regency hospital wiki ya pili sasa nina shida ya kifua sasa oxygen kilasiku inashuka nimewekewa oxygen lakini still inashuka leo imefika 68 naombeni msaada nipewe rufaa mloganzila maana naona hapa sipati huduma nzuri sina mtu wa kunisaidia kutoka hapa ninatumia bima ya nhif ya mfanyakazi naombeni mnisaisie 0764214031
nimesikitika sana, user name yako na unayoyaandika ni mbingu na ardhi, kuna mtu humu ana jina nadhani someone Kipanga, lakini kila akichangia anaharisha, nadhani ni muda wa kutumia tu majina yenu original, kama ni Masumbuko jiite Masumbuko tu, huku ni kudhalilisha maneno mazuri ya kiingerezaMsaada wa maneno kwa mtu mwenye shida ya kifua?,
anyway aki weka hiyo I'd, nita changia mchango wa sadaka yangu.
Mwisho matusi siku hizi ni cheap shots, labda umwambie mzazi wako ndio ana weza shituka.
siyo kila mtu normal oxygen saturation yake ni 100%, wengine normal yake inaeza kua hata 96%, so usishangae mkuu mtu kua na 68% na akaongea na kuchati kabisa, japo atakua na signs za distress, otherwise kama wewe siyo medical personnel sitashangaaSaturation 68 :SO2 kutoka 100
Na bado una chat na unafuatilia comment ?ndugu kuwa serious basi
Au fanya drama nyingine
Uko kwenye life -death situation
Moderators naomba mufanye the needful anataka ku exploit ID za watu kupitia huruma zao
pole sana sister na Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi🙏Mimi nimelazwa regency hospital wiki ya pili sasa nina shida ya kifua sasa oxygen kilasiku inashuka nimewekewa oxygen lakini still inashuka leo imefika 68 naombeni msaada nipewe rufaa mloganzila maana naona hapa sipati huduma nzuri sina mtu wa kunisaidia kutoka hapa ninatumia bima ya nhif ya mfanyakazi naombeni mnisaisie 0764214031
Pole kwa kuumwa.Mimi nimelazwa regency hospital wiki ya pili sasa nina shida ya kifua sasa oxygen kilasiku inashuka nimewekewa oxygen lakini still inashuka leo imefika 68 naombeni msaada nipewe rufaa mloganzila maana naona hapa sipati huduma nzuri sina mtu wa kunisaidia kutoka hapa ninatumia bima ya nhif ya mfanyakazi naombeni mnisaisie 0764214031